Rais Magufuli aipaisha Tanzania kiuchumi

hugochavez

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
1,907
1,009
Kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani Rais Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujenga miundombinu ya Uchumi wa Nchi, ameweza kujenga na kuimarisha mifumo ya utendaji kazi na ameweza kuisimamia ipasavyo. Rais magufuli ameibuka kuwa kinara wa ujengaji uchumi na maendeleo kwa watu wake katika Nchi zinazoendelea kwa maana ya Afrika, Asia na mashariki ya kati.
Moja ya mambo makubwa aliyofanikiwa kuyajenga hadi sasa ni kujenga reli ya kisasa inayotumia umeme itakayosafiri kwa mwendokasi wa kilometa 900 kwa masaa matatu. yaani mtu ataweza kutoka mwanza saa moja asbh na saa tatu asbh atakuwa amefika Dar tofauti na sasa ambapo safari hiyo inachukua masaa 18 hadi 20.

Jambo lingine kubwa ni kufanikiwa kujenga mtandao wa barabara na madaraja yanayounganisha Nchi kuwa moja kutoka kila kona yaani ukitoka Mtwara unafika arusha bila kukanyaga vumbi, ukitoka mwanza unaenda mbeya, hadi songea bila kukanyaga vumbi nk.

Afrika inahitaji Magufuli watano tu kuifikia Nchi ya ahadi.

pichani chini RAIS MAGUFULI AKIKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA KUPITA BAHARINI KUTOKA COCO HADI AGA KHAN JIJINI DAR ES SALAAM

1138081
 
Kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani Rais Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujenga miundombinu ya Uchumi wa Nchi, ameweza kujenga na kuimarisha mifumo ya utendaji kazi na ameweza kuisimamia ipasavyo. Rais magufuli ameibuka kuwa kinara wa ujengaji uchumi na maendeleo kwa watu wake katika Nchi zinazoendelea kwa maana ya Afrika, Asia na mashariki ya kati.
Moja ya mambo makubwa aliyofanikiwa kuyajenga hadi sasa ni kujenga reli ya kisasa inayotumia umeme itakayosafiri kwa mwendokasi wa kilometa 900 kwa masaa matatu. yaani mtu ataweza kutoka mwanza saa moja asbh na saa tatu asbh atakuwa amefika Dar tofauti na sasa ambapo safari hiyo inachukua masaa 18 hadi 20.

Jambo lingine kubwa ni kufanikiwa kujenga mtandao wa barabara na madaraja yanayounganisha Nchi kuwa moja kutoka kila kona yaani ukitoka Mtwara unafika arusha bila kukanyaga vumbi, ukitoka mwanza unaenda mbeya, hadi songea bila kukanyaga vumbi nk.

Afrika inahitaji Magufuli watano tu kuifikia Nchi ya ahadi.

pichani chini RAIS MAGUFULI AKIKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA KUPITA BAHARINI KUTOKA COCO HADI AGA KHAN JIJINI DAR ES SALAAM

View attachment 1138081
Tuanze na wewe mtoa mada umepaa kiuchumi kwa kiasi gani baada ya Tzn ya Magufuli kuipaisha inchi?
 
Mme pewa kibarua cha kumpaisha alie kwisha kufeli na kibarua chenyewe nacho umefeli ,ziro kabisa ***** ...zko
 
Miaka ile enzi zetu WAHENGA tulichekeshwa sana kuangalia tamthilia ile kwa jina .... ONLY FOOLS AND HORSES! kwenye runinga Uingereza. Ilihusu malofa flani na vituko vyao. Natafuta mbadala wa HORSES hapa ili kufitisha kwenye comedy za Bongoland. Isomeke, ONLY FOOLS and? ...
 
Pamoja na shukrani anazostahili Maguguli lakini mtoa mada una matatizo.
Hakuna treni ya kwenda 900km kwa masaa matatu inayojengwa sasa hivi.
 
Kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani Rais Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujenga miundombinu ya Uchumi wa Nchi, ameweza kujenga na kuimarisha mifumo ya utendaji kazi na ameweza kuisimamia ipasavyo. Rais magufuli ameibuka kuwa kinara wa ujengaji uchumi na maendeleo kwa watu wake katika Nchi zinazoendelea kwa maana ya Afrika, Asia na mashariki ya kati.
Moja ya mambo makubwa aliyofanikiwa kuyajenga hadi sasa ni kujenga reli ya kisasa inayotumia umeme itakayosafiri kwa mwendokasi wa kilometa 900 kwa masaa matatu. yaani mtu ataweza kutoka mwanza saa moja asbh na saa tatu asbh atakuwa amefika Dar tofauti na sasa ambapo safari hiyo inachukua masaa 18 hadi 20.

Jambo lingine kubwa ni kufanikiwa kujenga mtandao wa barabara na madaraja yanayounganisha Nchi kuwa moja kutoka kila kona yaani ukitoka Mtwara unafika arusha bila kukanyaga vumbi, ukitoka mwanza unaenda mbeya, hadi songea bila kukanyaga vumbi nk.

Afrika inahitaji Magufuli watano tu kuifikia Nchi ya ahadi.

pichani chini RAIS MAGUFULI AKIKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA KUPITA BAHARINI KUTOKA COCO HADI AGA KHAN JIJINI DAR ES SALAAM

View attachment 1138081
Lofa wewee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom