Hili ni gazeti la lugha ya kiingereza la leo 12/09/2023 kutoka Tanzania!
Kichwa cha habari ni sahihi? Najua ujumbe kusudiwa umefika! Najua ni makosa ya kibinaadamu! Tatizo wakenya wataanza...
Nanukuu "wakenya mnakiswahili kibaya inatakiwa mpewe darasa la kiswahili"- Samia s. Hassan
"Sisi ndio tunakiswahili kibaya ila tunawajibu kwa kiswahili kibaya na watanzania mnatujibu kwa...
NANI ATANGULIE
Kifo hakina chaguo, chabeba kimtakae
Wawili wapendanao, mke mume kichukue
Na hata kwa mkupuo, bora kifo kiamue
Ni nani atangulie, kati ya mke na mume?
Mke ndiyo kimbilio...
Pesa si matumaini yao
Ni msukuma mkokoteni
Tena na jua kali kichwani
Pato lake sio ahueni
Pesa si matumaini yao
Ajabu mwajiriwa tajiri
Na mwajiri wake ni fakiri
Analipa, kipato swaghiri
Pesa si...
Habari za mda huu wakuu. Kwanza kabisa nikiri kuwa asiyekubali kujifunza hafai kuishi katika dunia hii ya mabadiliko,
Leo katika pitapita zangu nikaona jengo flani ivi limeandikwa MINI SUPER...
Siku hizi kuna msemo maarufu sana wa 'pira papatu papatu', wengi hawaelewi asili ya msemo huu.
Msema huu asili yake mchanganyiko wa struggles za na sauti zitokanazo na samaki anapokua akirukaruka...
Habari za asubuhi wana JF,
Nimekuja humu nina shida ndogo maana penye wengi pana mengi nimehamia nyumba fulani hapa jijini wenye nyumba ni wahaya hawa watu wakiniona nimerudi wao ni kihaya tu...
High Court Judgement
"I hereby quash the entire proceedings and judgment of the lower tribunal for being nulity, Everything in ownership of the disuputed plot remains as if there was no case...
Good afternoon members (sijui kama nimepatia 😂 )
Kuna sehemu imeandikwa Received from / issued to. hapa unaweza kuandika bidhaa flani imeletwa kutoka stoo ama naandika majina ya wateja...
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Naombeni tafsiri sahihi kwa kiswahili ya sentensi I saw him leaving the house
Aksanteni na karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.