Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED!
LED - Light Emitting...
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
Madalali wengi na watu binafsi kwa Tanzania wanatumia neno Public toilet kwenye choo cha wageni katika (residential house) makazi binafsi.
hii imekaa sawa?
¡Hola amigos,Estoy aprendiendo el idioma español desde hace un año. ¿Hay alguien aquí interesado en intercambiar comunicación en español?
Por favor, hágamelo saber.
Saludos,
Belinda
Well son, Ill tell you:
Life for me aint been no crystal stair.
Its had tacks in it,
And splinters,
And boards torn up,
And places with no carpet on the floor
Bare.
But all the time...
Penzi la kumegeana, si penzi la kupeana,
Penzi la kutegeana, kwa kibaba kupeana,
Penzi la kutishiana, la nini la kugawana?
Penzi la kumegeana, si penzi hilo hiana!
Penzi la kumegeana, ni...
Nipeni kiti nikae, nikae na niteteme,
Ndugu msinishangae, nililonalo niseme,
Ya chakula cha ukae, maneno yangu nipime,
Sambusa ni tamu bwana, hasa za kitanzania!
Nilialikwa na Rozi, Fatuma naye...
Wakuu nimekutana na neno "Majumui" mara nyingi tu sehemu mbalimbali duniani. Hata juzi wakati wa kigoda cha mwalimu nyerere nilimsikia Prof. Rwekaza Mukandala akilitaja.
Mpaka imefikia UDSM...
Habari GTs,
Naomba kujuzwa maneno: Zwazwa na hewallah yana maana gani nimekuwa nikikutana nayo kwenye maandishi JF lakini sielewi maana yake naomba kujuzwa.
AHSANTENI
voodoo economics
noun
INFORMAL•US
an economic policy perceived as being unrealistic and ill-advised, in particular a policy of maintaining or increasing levels of public spending while reducing...
Msaada tafadhali kwa anayefahamu sababu za KUTUMIWA KWA VIMAANILIZI VYA MAANA na imuhimu wake anisaidie kwa wale waliobahatika kusoma kiswahili chuo kikuu
Ahsanteni sana!!
Hamjambo wakuu? sentensi hizi zinasomeka ukianzia kusoma kushoto kwenda kulia, au ukianzia kulia kwenda kushoto. Je unaweza kutunga sentensi kama hizi kwa kiswahili?
Don't nod
Dogma: I am God...
Utata (Ambiguity) ni hali ya neno au sentensi kuwa na maana zaidi ya moja. Mfano; Kima, kombe, meza, zama, barabara, kanda na katika sentensi "kaka zangu wote wana wake".
SABABU ZA UTATA
(i) Neno...
God and religion
2328. Abadani: mungu huijua. SPK.
'Never', only God knows that.
2328a. Abiria kwanza, thumma swifu mungu. SPK.
Cross the river first, then praise God. It is not good praising a...
Ukienda Zanzibari usijekushangaa kusikia tafsiri ya maneno yafuatayo, ukipanda Chai Maharage na ukisikia Konda anatamka 'kiporo' jua ni kifurushi kidogo cha abiria, kifurushi cha unga, mchele...
MWISHONI mwa wiki Waziri wa Elimu wa Zanzibar Ramadhan Abdullah Shaaban alikuwa mgeni rasmi katika shughuli ambayo imepewa jina la Siku ya Kiswahili ambayo kwa hakika ilifana sana.
Hii...
ZAMA ZA ZAMANI
Ilifika wakati zama za zamani zikarudi,
wala siyo vile vunubi makanisani
Bali mtindo wa maisha ya duniani
Ule ukweli ukawa uongo na uongo ukawa ukweli
Matendo ya mbinguni...
Asanteni wote mlionisaidia na mtaoendelea kunisaidia kuelewa lugha ya Kiswahili. Naomba mjue kuwa ninazo kamusi lakini mara kwa mara utakuta kuna maneno hayapo...au labda tatizo langu sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.