Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Sticky
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
10 Reactions
94 Replies
106K Views
  • Sticky
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED! LED - Light Emitting...
10 Reactions
710 Replies
221K Views
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
48 Reactions
2K Replies
199K Views
Madalali wengi na watu binafsi kwa Tanzania wanatumia neno Public toilet kwenye choo cha wageni katika (residential house) makazi binafsi. hii imekaa sawa?
0 Reactions
0 Replies
843 Views
¡Hola amigos,Estoy aprendiendo el idioma español desde hace un año. ¿Hay alguien aquí interesado en intercambiar comunicación en español? Por favor, hágamelo saber. Saludos, Belinda
3 Reactions
204 Replies
15K Views
Well son, I’ll tell you: Life for me ain’t been no crystal stair. It’s had tacks in it, And splinters, And boards torn up, And places with no carpet on the floor – Bare. But all the time...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Penzi la kumegeana, si penzi la kupeana, Penzi la kutegeana, kwa kibaba kupeana, Penzi la kutishiana, la nini la kugawana? Penzi la kumegeana, si penzi hilo hiana! Penzi la kumegeana, ni...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Nipeni kiti nikae, nikae na niteteme, Ndugu msinishangae, nililonalo niseme, Ya chakula cha ukae, maneno yangu nipime, Sambusa ni tamu bwana, hasa za kitanzania! Nilialikwa na Rozi, Fatuma naye...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Wakuu nimekutana na neno "Majumui" mara nyingi tu sehemu mbalimbali duniani. Hata juzi wakati wa kigoda cha mwalimu nyerere nilimsikia Prof. Rwekaza Mukandala akilitaja. Mpaka imefikia UDSM...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
>sorry I am Testing my device >NO hardfeelings
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Habari GTs, Naomba kujuzwa maneno: Zwazwa na hewallah yana maana gani nimekuwa nikikutana nayo kwenye maandishi JF lakini sielewi maana yake naomba kujuzwa. AHSANTENI
0 Reactions
10 Replies
10K Views
voodoo economics noun INFORMAL•US an economic policy perceived as being unrealistic and ill-advised, in particular a policy of maintaining or increasing levels of public spending while reducing...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Msaada tafadhali kwa anayefahamu sababu za KUTUMIWA KWA VIMAANILIZI VYA MAANA na imuhimu wake anisaidie kwa wale waliobahatika kusoma kiswahili chuo kikuu Ahsanteni sana!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni tofauti gani iliyopo kati ya POSTAL ADDRESS na PHYSICAL ADDRESS?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hamjambo wakuu? sentensi hizi zinasomeka ukianzia kusoma kushoto kwenda kulia, au ukianzia kulia kwenda kushoto. Je unaweza kutunga sentensi kama hizi kwa kiswahili? Don't nod Dogma: I am God...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msamiati huu nimeupata leo ukiwa na maana refresh. Nimeipenda sana hii, naomba tujulishane misamiati mingine ya Kiswahili
2 Reactions
11 Replies
9K Views
Utata (Ambiguity) ni hali ya neno au sentensi kuwa na maana zaidi ya moja. Mfano; Kima, kombe, meza, zama, barabara, kanda na katika sentensi "kaka zangu wote wana wake". SABABU ZA UTATA (i) Neno...
4 Reactions
1 Replies
3K Views
METHALI MIA SITA NA KUMI (610) 1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende...
1 Reactions
17 Replies
43K Views
God and religion 2328. Abadani: mungu huijua. SPK. 'Never', only God knows that. 2328a. Abiria kwanza, thumma swifu mungu. SPK. Cross the river first, then praise God. It is not good praising a...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Ukienda Zanzibari usijekushangaa kusikia tafsiri ya maneno yafuatayo, ukipanda Chai Maharage na ukisikia Konda anatamka 'kiporo' jua ni kifurushi kidogo cha abiria, kifurushi cha unga, mchele...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
MWISHONI mwa wiki Waziri wa Elimu wa Zanzibar Ramadhan Abdullah Shaaban alikuwa mgeni rasmi katika shughuli ambayo imepewa jina la Siku ya Kiswahili ambayo kwa hakika ilifana sana. Hii...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
ZAMA ZA ZAMANI Ilifika wakati zama za zamani zikarudi, wala siyo vile vunubi makanisani Bali mtindo wa maisha ya duniani Ule ukweli ukawa uongo na uongo ukawa ukweli Matendo ya mbinguni...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Asanteni wote mlionisaidia na mtaoendelea kunisaidia kuelewa lugha ya Kiswahili. Naomba mjue kuwa ninazo kamusi lakini mara kwa mara utakuta kuna maneno hayapo...au labda tatizo langu sio...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom