Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kuna binti mmoja mtoto wa dada yangu amehitimu kidato cha nne kwa matokeo yafuatayo; CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D' na anapenda kusoma...
2 Reactions
12 Replies
537 Views
A
Anonymous
Huu Mtaala mpya unaohusu Watoto kuishia Darasa la Sita hakuna vitabu hata kimoja mpaka leo tangu Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda alipotangaza juu ya mabadiliko hayo. Kila tukiuliza wanasema...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Habari, Nina mdogo wangu amesoma advance kombi ya PCB na matokeo yapo hivi; Physics-C, Chemistry -B na Bios-B. Je, aende Pharmacy au Radiology na kwa matokeo hayo si anaweza pata Muhimbili?
1 Reactions
12 Replies
583 Views
Habari, Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science Mpaka sasa nina utata niende Advance au...
1 Reactions
19 Replies
385 Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba kuuliza kuhusu haya Matokeo ya huyu dogo ataweza kuchaguliwa Form 5 wadau...? Civics D History D Geography C Kiswahili C English D Physics F Chemistry D Biology C...
5 Reactions
86 Replies
3K Views
Wakuu, habari za muda na wakati huu. Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa...
16 Reactions
262 Replies
15K Views
Habari tena. Kuna ambae alikosa mkopo mwaka was kwanza halafu was pili akapata? Maisha magumu loh
2 Reactions
3 Replies
224 Views
Habari za majukumu ndugu wanajamvi, Naomba kufahamu mwanachama wa mfuko wa pensheni kwa Watumishi wa Umma anaweza kupata mkopo kupitia mfuko huo akitimiza miaka 10 kazini au mpaka atimize miaka...
0 Reactions
4 Replies
214 Views
A
Anonymous
Kuna kero kubwa tunaipata Wazazi dhidi ya Shule ya Msingi Nyabulugoya iliyopo Nyegezi Jijini Mwanza, tunaomba tupazie sauti ili wenye nafasi zao wapate ujumbe huu. Kila Jumamosi Wanafunzi...
2 Reactions
7 Replies
702 Views
The African Economic Research Consortium (AERC) was established in 1988 as a public not-for-profit organization devoted to the advancement of economic policy research and training in Africa. The...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
  • Poll
Sorry guyz mm nimemaliza form 4 na nimepata 1.7 NECTA with A tisa na B moja ila nataka kuwa doctor and sitaki kwenda A level because naogopa physics na Biology itaniangusha and sitoweza kupata...
1 Reactions
6 Replies
164 Views
Mfumo umefunguka vizuri. Ninaingiza taarifa vizuri. Kwa nini sehemu ya kuingiza namba ya NIDA nikibofya inazunguuka muda mrefu haiendeleei? Msaada wanaujua hili suala.
1 Reactions
8 Replies
391 Views
Serikali kupitia TAMISEMI imetoa fursa kwa Wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023 kuongeza au kufanya marekebisho ya machaguo mapya ya tahasusi (combination) baada ya kuongezwa kwa tahasusi mpya 49...
11 Reactions
158 Replies
11K Views
A
Anonymous
VYOO Katika Shule ya Msingi Rubale iliyopo kijiji Businde Kata Businde Wilaya ya Kyerwa Mkoani kagera vimekataa na kujaa kitu kinachofanya wanafunzi kukusaidia vichakani wazazi wamechagishwa hela...
1 Reactions
2 Replies
107 Views
Je, sheria ya elimu ya juu Nchini inamruhusu mtu kumiliki shahada mbili katika tahasusi mbili tafauti yaani niwe na degree ya Civil engineering kutoka UDSM halafu niende zangu CBE kuchukua...
0 Reactions
7 Replies
419 Views
Hivi kati ya vyuo tajwa hapo juu kipi kinanoa vizuri wanafunzi kinadharia na vitendo katika kozi za engineering?,hasa Electrical engineering.
0 Reactions
55 Replies
35K Views
wakuu yeyote ambaye hajajua wapi kachaguliwa weka form IV index number yako hapo http://cas.tcu.go.tz/2/admitted_applicants.php
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji kujua kuhusu hali ya ubora wa chuo cha Kampala International University kwa sasa, maana hapo miaka ya nyuma nliskia kashfa nyingi kuhusu hiki chuo.
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu ule msemo wa usikosee kozi ya kusoma unanitesa nipo njia panda je kozi ipi nzuri ya afya ya kusoma kati ya hizi :-radiology, pharmacy au medical lab
3 Reactions
20 Replies
424 Views
Bonjour Kuna hii kozi Ina itwa Digital marketing Naomba maelezo ya kina kuhusu hii kozi, Nawezaje kujiajiri? Soko lake lipoje?
3 Reactions
14 Replies
543 Views
Back
Top Bottom