Habarini Wana JF,
Kijana wenu naomba mnisaidie connection nipate sehem ya kufany field.
Maeneo ya field ni viwandani, migodini, viwanda vya dawa vyuoni as laboratory scientist
NB: Nimejaribu...
Bi kupoteza muda.
Mimi ni mgeni hapa wakuu nimecheki haraka haraka sioni thread maalumu ya OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA THREAD.
Nataka kujiunga nisome stashahada ya uzamili na nataka panapo uzima...
Wadau kunahii combi mpya ya physics, mathematics na Computer. Hivi hii future yake katika kusoma university or advanced colleagues inawezakuwa ipi? Najiuliza kwenda PCM aun kwenda hii combi kipi...
Habari wananzengo,
Napenda kujuzwa juu ya majukumu ya Wizara ya Elimu kwenye elimu na Wizara TAMISEMI kwenye elimu. Na, Je hakuna uwezekani majukumu yao kuingiliana?
Sisi Wanafunzi wa St. John's University of Tanzania cha Dodoma tunakidai chuo hela ambazo tulilipa kabla hatujalipiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), tumeandika barua nyingi sana kuomba...
Habari wa kuu ,
Nmeona combination mpya zimeongezwa ili kuwapa uwanja mpana wanafunzi wa advance lakini naona hazija ongeza kitu kwa wanafunzi wa sayansi zaidi ya computer.
Kwa maono yangu...
kwa mfano Mimi niliomba mkopo mwaka jana nikakosa je ninapoomba tena mwaka huu nikaweka barua ya kustaafu ya mzazi ambaye amestaafu mwaka jana je ninaweza pata mkopo? ( Ngazi ya shahada )
Lengo ni nini? Haya maamuzi yamefanyika kwa kushirikisha wataalamu kweli? Tunakusudia kujenga taifa la aina gani? Mtu akisoma Physics, Kiswahili na Economics (PKE) anaadaliwa kuwa nani? Au...
Habari wa kuu ,
Nmeona combination mpya zimeongezwa ili kuwapa uwanja mpana wanafunzi wa advance lakini naona hazija ongeza kitu kwa wanafunzi wa sayansi zaidi ya computer.kwa maono yangu...
Kijana wa PCM amechaguliwa mechatronic engineering DMI na ATC. Pia amechaguliwa mechanical engineering MUST
1. Je kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa...
Wakuu msada please kwa yeyote anaefahamu sehemu ambapo naweza pata field ya Mech engineering naomba anisaidie.Sehemu ambapo ningependa nifanyie field kama itapatikana ni dar.
Asanteni.
Nina umri wa miaka 26, nimehitimu Kidato cha Nne Mwaka 2016 na matokea nina C flat 5 na D ya History na Chemistry na F ya Fizikia na Hesabu ndoto yangu ni kuwa na bachelor ya IT nifanyaje wakuu?
Mimi mdogo wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu ni kama ifuatavyo
Phy D math D chemia C Biology C.
Huo ndio ufaul wang na Nia yangu ilikuwa ni kwenda chuo nikasomee...
Nimewasikia watekelezaji wa mtaala (walimu) na wanafunzi kupitia wazazi wanasema mada zinazofundishwa darasa la tatu zinawadi umri mfano
Kwenye somo la hisabati,jometri iliyokuwa inafundishwa...
Nawasalimu.
Naomba kwa wazoefu wanifahamishe Bei ya kumfundisha mtoto tuition akifatwa nyumbani kwao.wa darasa la tano na darasa la kwanza.
Msàada jamani.
Naomba nijibiwe maswali yangu kuhusu huu mtaala mpya wa elimu.
Jedwali na.4: Somo, umahiri mkuu na umahiri mahususi kwa darasa la iii hadi la vi.
Kipengele na:
8. Elimu ya Dini Itatolewa na...
Naomba wadau wa Jamiiforums waweze kufatilia uovu unaofanywa na mwalimu mmoja katika shule ya secondary Kanoge ambayo ipo wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi kwani katika shule hiyo kuna mwalimu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.