Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habarini Wana JF, Kijana wenu naomba mnisaidie connection nipate sehem ya kufany field. Maeneo ya field ni viwandani, migodini, viwanda vya dawa vyuoni as laboratory scientist NB: Nimejaribu...
1 Reactions
8 Replies
318 Views
Bi kupoteza muda. Mimi ni mgeni hapa wakuu nimecheki haraka haraka sioni thread maalumu ya OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA THREAD. Nataka kujiunga nisome stashahada ya uzamili na nataka panapo uzima...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Wadau kunahii combi mpya ya physics, mathematics na Computer. Hivi hii future yake katika kusoma university or advanced colleagues inawezakuwa ipi? Najiuliza kwenda PCM aun kwenda hii combi kipi...
1 Reactions
3 Replies
316 Views
Habari wananzengo, Napenda kujuzwa juu ya majukumu ya Wizara ya Elimu kwenye elimu na Wizara TAMISEMI kwenye elimu. Na, Je hakuna uwezekani majukumu yao kuingiliana?
0 Reactions
7 Replies
321 Views
A
Anonymous
Sisi Wanafunzi wa St. John's University of Tanzania cha Dodoma tunakidai chuo hela ambazo tulilipa kabla hatujalipiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), tumeandika barua nyingi sana kuomba...
0 Reactions
5 Replies
461 Views
Nimemaliza chuo na GPA ya 2.5 nataka kwenda kusoma Masters je naweza, kama haiwezekani inatakiwa nifanyeje wakuu?
0 Reactions
248 Replies
38K Views
Habari wa kuu , Nmeona combination mpya zimeongezwa ili kuwapa uwanja mpana wanafunzi wa advance lakini naona hazija ongeza kitu kwa wanafunzi wa sayansi zaidi ya computer. Kwa maono yangu...
-1 Reactions
2 Replies
301 Views
kwa mfano Mimi niliomba mkopo mwaka jana nikakosa je ninapoomba tena mwaka huu nikaweka barua ya kustaafu ya mzazi ambaye amestaafu mwaka jana je ninaweza pata mkopo? ( Ngazi ya shahada )
1 Reactions
2 Replies
185 Views
Lengo ni nini? Haya maamuzi yamefanyika kwa kushirikisha wataalamu kweli? Tunakusudia kujenga taifa la aina gani? Mtu akisoma Physics, Kiswahili na Economics (PKE) anaadaliwa kuwa nani? Au...
3 Reactions
2 Replies
566 Views
Habari wa kuu , Nmeona combination mpya zimeongezwa ili kuwapa uwanja mpana wanafunzi wa advance lakini naona hazija ongeza kitu kwa wanafunzi wa sayansi zaidi ya computer.kwa maono yangu...
1 Reactions
3 Replies
331 Views
Kijana wa PCM amechaguliwa mechatronic engineering DMI na ATC. Pia amechaguliwa mechanical engineering MUST 1. Je kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa...
2 Reactions
52 Replies
4K Views
Wakuu msada please kwa yeyote anaefahamu sehemu ambapo naweza pata field ya Mech engineering naomba anisaidie.Sehemu ambapo ningependa nifanyie field kama itapatikana ni dar. Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nina umri wa miaka 26, nimehitimu Kidato cha Nne Mwaka 2016 na matokea nina C flat 5 na D ya History na Chemistry na F ya Fizikia na Hesabu ndoto yangu ni kuwa na bachelor ya IT nifanyaje wakuu?
1 Reactions
45 Replies
980 Views
Mimi mdogo wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu ni kama ifuatavyo Phy D math D chemia C Biology C. Huo ndio ufaul wang na Nia yangu ilikuwa ni kwenda chuo nikasomee...
1 Reactions
5 Replies
166 Views
Nimewasikia watekelezaji wa mtaala (walimu) na wanafunzi kupitia wazazi wanasema mada zinazofundishwa darasa la tatu zinawadi umri mfano Kwenye somo la hisabati,jometri iliyokuwa inafundishwa...
1 Reactions
9 Replies
222 Views
Nawasalimu. Naomba kwa wazoefu wanifahamishe Bei ya kumfundisha mtoto tuition akifatwa nyumbani kwao.wa darasa la tano na darasa la kwanza. Msàada jamani.
1 Reactions
16 Replies
416 Views
Nimaswali gani nitaulizwa nitakapo enda kufanya interview katika moja ya hospital kubwa hapa Tanzania, Nafasi nilio omba ni Operational Major.
1 Reactions
1 Replies
103 Views
Naomba nijibiwe maswali yangu kuhusu huu mtaala mpya wa elimu. Jedwali na.4: Somo, umahiri mkuu na umahiri mahususi kwa darasa la iii hadi la vi. Kipengele na: 8. Elimu ya Dini Itatolewa na...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari, naomba mnisaidie njia Bora ya kupokea pesa online nakui-transfer katika mitandao ya simu kama tigo, mpesa au Airtel...z[emoji120]
0 Reactions
7 Replies
194 Views
Naomba wadau wa Jamiiforums waweze kufatilia uovu unaofanywa na mwalimu mmoja katika shule ya secondary Kanoge ambayo ipo wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi kwani katika shule hiyo kuna mwalimu wa...
1 Reactions
48 Replies
2K Views
Back
Top Bottom