Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

  • Sticky
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe. Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe...
108 Reactions
28K Replies
3M Views
  • Sticky
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana, hasa kidato cha 5 au chini ya hapo, pia wanavyuo. Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu...
48 Reactions
2K Replies
307K Views
  • Sticky
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze...
59 Reactions
1K Replies
315K Views
  • Sticky
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha uzi huu Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam. Nimeamua kuanzisha mimi kama Alumnus wa...
25 Reactions
830 Replies
149K Views
  • Sticky
Wakuu habari ya muda, Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania. Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya...
35 Reactions
599 Replies
224K Views
  • Sticky
Kama ni mwanafunzi, au unatarajia kusoma Geology ila hujui uanzie wapi. Uliza chochote nitakusaidia. Asanteni sana
8 Reactions
549 Replies
107K Views
  • Sticky
HISTORY OF ARDHI UNIVERSITY The Ardhi University (ARU) was established after transforming the former University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS) which was then a constituent...
8 Reactions
428 Replies
156K Views
  • Sticky
The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) is the government Institution established in 1997 by Act of parliament."the DIT Act No 6 of 1997" to replace the Dar es Salaam Technical College...
10 Reactions
376 Replies
141K Views
  • Sticky
Kwa wale waliomaliza kidato cha nne na unapenda kutimiza ndoto za kielimu na chuo cha USTAWI WA JAMII-DSM nafasi za maombi ziko wazi kwa wale wa ngazi za cheti.SIFA STAHIKI :Passed nne(D) na...
2 Reactions
247 Replies
181K Views
  • Sticky
Introduction Nimeamua kuanzisha uzi huu mahsusi unaohusu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kama njia ya kukienzi chuo hiki kikongwe na cha kipekee nchini Tanzania na duniani kwa ujumla...
14 Reactions
214 Replies
23K Views
Habarini Wakuu Wote! Huu Ni Uzi Nilioanzisha Mwaka Jana Kuwasaidia Wanachuo Watarajiwa Kufahamu Kiundani Kuhusu Udahili Vyuoni, Nikiri Huu Uzi Uliwasaidia Sana Wahitimu Wa Kidato Cha Sita Ambao Ni...
19 Reactions
3K Replies
348K Views
  • Closed
Habari wadau! Mi naomba kuulizia kuhusu taarifa ya upangaji wa vyuo vya Afya [NACTE] kwa ngazi ya Diploma na Certificate. Kwa mwenye kufahamu anijuze.
2 Reactions
3K Replies
247K Views
Habari wakuu, Kuna wadogo zetu walimaliza kidato cha sita na matokeo yao yanatarajia kutoka karibuni, kwa sasa wanakaribia kwenye mchakato wa kujaza vyuo na uchaguzi wa shahada watazochukua. Ni...
3 Reactions
2K Replies
181K Views
Habari wakuu, Kuna wadogo zetu walimaliza kidato cha sita na matokeo yao yametoka karibuni, kwa sasa wapo kwenye mchakato wa kujaza vyuo na uchaguzi wa shahada watazochukua. Ni ngwe muhimu sana...
5 Reactions
2K Replies
177K Views
Wakuu habari, Baadhi ya vyuo vimeanza kutoa matokeo kwa waliochaguliwa kujiunga na vyuo hivyo. Mfano chuo cha NIT na CBE sijajua kwa vyuo vingine hivyo login katika website chuo kwanzia leo mpaka...
7 Reactions
1K Replies
115K Views
Habari gani members wa JF? Kama una swali lolote kuhusu Hifadhi zetu za taifa, pia maswali kuhusu wanyama pori wa hapa EAST AFRICA(mammals,reptiles,birds,etc) na baadhi ya maswala yanayohusu...
19 Reactions
1K Replies
150K Views
Habarini waungwana, Naomba kuuliza je TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo? Natanguliza shukrani kwa swali hapo juu
3 Reactions
1K Replies
241K Views
Kama nimeitaja shule yako jitokeze na uitaje umpate school mate mwenzio muunde undugu.. Nimepanga randomly bila kufuata utaratibu wowote.. 1.Mzumbe 2.Milambo 3.Kantalamba 4.Minaki 5.Iyunga...
45 Reactions
1K Replies
138K Views
Chagua somo lolote ulilokuwa unaliweza halafu utaulizwa swali na member yeyote yule iwe Mathematics, physics, Literature, Geography, Chemistry, Biology, Geometry au History.
6 Reactions
1K Replies
59K Views
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo...
77 Reactions
1K Replies
452K Views
Habari waungwana, Kama tujuavyo, Bodi ya mikopo nchini imeanza kutoa majina ya waliobahatika kupata mikopo ikiwemo na tangazo linaloelezea mikopo inatokaje mwaka huu. Wengi wamekumbwa na...
0 Reactions
1K Replies
107K Views
Hapa ndio chuo nilipoanzia kujifunza mambo ya Buddhism, meditation, chanting nk. Hii ni picha ya mwaka 1997, na hiyo ni sehemu ya wanachuo. Hiki kilikuwa ni chuo kugumu na chenye sheria kali...
74 Reactions
1K Replies
155K Views
Hongereni kwa kuchaguliwa "The White University" Nawashauri hivi:- 1. Yapo makampuni ya mabasi yatawataka mlipe pesa benki ili yawasafirishe hadi UDOM- Kataa kwani watakupiga hela halafu safari...
74 Reactions
1K Replies
175K Views
Hivi punde waziri wa elimu sayansi na teknolojia anarajia kutangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika mwezi wa tano mapema mwaka huu. Chanzo cha habari hii ni www.necta.go.tz...
8 Reactions
934 Replies
171K Views
  • Closed
Tunataka kujua post zinatoka lini tumechoka kukaa nyumbani Ni mwezi wa tano sasa umetia hatuoni dalili zozote au fununu kuhusu post za kidato cha tano, kwa kweli serikali ituonee huruma huku...
5 Reactions
869 Replies
426K Views
mimi evelyne mosha namba yangu ni s0224/0030/1994 naomba mniangalizie maana kampala university bado hawajatoa majina
0 Reactions
859 Replies
53K Views
Kama wewe ni Mwalimu Mpya na Unahitaji kujua Mazingira ya sehemu uliyopangiwa au kukutana na Walimu wenzio basi toa maelezo yako hapa ili uweze kusaidiwa. nimepangwa serengeti,naomba aliepangwa...
0 Reactions
843 Replies
95K Views
Habari wakuu, Mada zinazohusu bodi ya mikopo zimekuwa nyingi jukwaani kutokana na kipindi hiki kuwa cha ujazwaji wa fomu husika, hatusemi kuwa tunakuwa mbadala wa HESLB katika kujibu maswala...
4 Reactions
836 Replies
149K Views
Wakuu japo sijapost kwenye jukwaa hili kwa miezi kadhaa sasa hivyo naomba mnipokee tena mtaalamu Deadbody Wakuu najua JF kuna watu wa kila aina ya masomo humu hivyo leo naomba niwakusanye watu...
65 Reactions
827 Replies
103K Views
Back
Top Bottom