ngutu boy
Member
- Mar 4, 2015
- 16
- 6
Tunataka kujua post zinatoka lini tumechoka kukaa nyumbani
=====================
=====================
Post za Kidato cha Tano 2015 zimeshatoka, zipo hapa: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015
Ni mwezi wa tano sasa umetia hatuoni dalili zozote au fununu kuhusu post za kidato cha tano, kwa kweli serikali ituonee huruma huku mtaani tulipo tumekaa mpaka tumechoka au kwa yule anayejua au hata fununu kuhusu hizo post zinatoka lini, tena tafadhali sana tujulishe ndg.
=====================
=====================
Post za Kidato cha Tano 2015 zimeshatoka, zipo hapa: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015