JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
leo nimeshuhudia sijui ni bifu au tuseme ni kituko gari ya tanesco yenye wafanyakazi ilipokutana na ya dawasa kwenye foleni Mwenge basi yakaanza matani dawasa wanaitwa chura nao wanawaita wa...
9 Reactions
20 Replies
325 Views
Huu ndio ukweli kuhusu wanandoa wanaoishi mbalimbali
9 Reactions
13 Replies
430 Views
Wanapozaliwa Watoto mapacha mkubwa uitwa Kulwa na mdogo Uitwa Dotto, huyu dotto automatically uitwa Doi Hili Doi lilitokana na nini? Wajuvi mtujuze
1 Reactions
8 Replies
611 Views
Habari wanaJamiiForums..!! Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu. We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na...
10 Reactions
600 Replies
21K Views
1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani. 2- Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro! 3- Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree. 4- Ndio jiji...
8 Reactions
44 Replies
1K Views
Wapendwa kmvua hakiachi toka jana. Na hivi leo Muungano pa kwenda hakuna. Wengine wasimbe hatuna babe. Basi tusaidiane hata majina ya movie za kuangalia siku ipite wapenzi. Nasubiri maoni yenu...
11 Reactions
155 Replies
1K Views
Ni mikoa gani ambayo mvua hizi hazinyeshi kwa hapa Tanzania? Tujuzane!
1 Reactions
15 Replies
443 Views
Habari zenu wakuu..... Katkit hapa, baada ya kuugua kwa kipindi kirefu (almost 3 months) namshukuru sana Mungu nimepata nafuu sasa. Ugonjwa usikie kwa jirani aisee, usije ukadharau ugonjwa...
2 Reactions
18 Replies
164 Views
Unatamani nini sasa hivi? Mi natamani nyama ya kuchoma au kuokwa,iwe ya motooooo. Bahati mbaya sehemu ambayo naweza kupata ishafungwa saa hizi. Sijui kwanini hii hamu haikunijia mapema. . . ...
3 Reactions
74 Replies
5K Views
Kauli za watu ambao wamekosa hoja hapa jamvini. 1. Badala ya kujibu hoja anakugeuza wewe hoja : "una hasira, mmeo/mkeo hivi, boyfriend/girlfriend wako vile, umeachwa " wakati hakujui. 2...
10 Reactions
198 Replies
10K Views
Hiyo ni salamu wanaume tunapokutana, hasa pub, cafe au kwenye jumuiko lolote. Haya semeni kati ya hayo mawili, lipi linawasumbuwa?
1 Reactions
15 Replies
231 Views
Uturuki itakuja kununua nguo Tanzania. Made in Tanzania. Watazigombania nguo za Made in Tanzania Ukiwa Uturuki tu utasikia "dont want if not Made in TanzaniA" Mmesikiaa wanangu?
0 Reactions
4 Replies
173 Views
Je huyo uliyeoana naye ndio wa ndoto zako ? Eti mkuu? Au tukuache kwanza?
1 Reactions
6 Replies
149 Views
Dondosha jina la kinyakyusa unalolifahamu. Naanza Gwakisa, endelea
6 Reactions
285 Replies
7K Views
Habari zenu waungwana wa humu ndani, Nina jambo lanitatiza sana, kila nikiishi pahali lazima nifatwe na Paka, yaani atokee Paka aweke kambi kwangu, nikianzia kwetu kwa wazazi alikuja kipaka...
17 Reactions
189 Replies
7K Views
Unatumia mbinu gani ili hasira ziishe? 1. Unalia? 2. Unakaa kimya? 3. Unapigana? 4. Unamuomba Mungu 5. Unamcomfront na kumfokea alikuudhi? 6. Unasikiliza music? 7. Unatoka out? 8. Unaongea na Baby?
4 Reactions
65 Replies
1K Views
Leo niko huku kanda ya ziwa Mwanza. Nitakuwa huku kwa siku tatu,kwa wenyeji wa Mwanza ni sehemu gani unaweza kupiga bia vizuri huku ukizungukwa na totoz nyingi za maana,nimezoea sana maisha ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Seriously, niliwamiss guys... Kuna jamaa nakusaka,sijui umechange avatar...oyaaa nicheki mwanangu...
1 Reactions
4 Replies
90 Views
Inakuwaje WanajamiiForums Watu tunatofautiana, kuna baadhi ya watu wametawaliwa na aibu katika kipindi fulani katika umri wao, hivyo huwafanya kukosa fursa/ vitu fulani katika kipindi hiko. Kuna...
2 Reactions
5 Replies
174 Views
Back
Top Bottom