Mwamba alihusika katika magoli yote manne ya jana. Huyo mchezaji wenu atambue hapa Tanzania kuna mwamba mmoja tu. Kwa hiyo achukue muda mwingi ajifunze vitu kwa Mwamba wa Lusaka.
Hii mara nyingine tena nchi inaibika sababu ya club moja tu. Uwanja wa Mkapa una hadhi yake, unapoutumia tumia kuleta sifa sio aibu.
Kwa sasa bora mkacheze Kirumba tu.
Yanga kama anatakiwa afanikiwe kimataifa afanye yafuatayo-
Atafute namba tisa wa uhakika, aachane na Mayele, Mayele kimataifa Ni kopo kabisa, yaani hamna kitu pale
Morisson tupa nje
Kocha piga...
Nani ataibuka kidedea ngoja tusubiri mbungi
Nawaona Club Africain wakioga mvua ya magoli
===
Mchezo huu wa kwanza wa kutafuta mafasi ya kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho unafanyika...
Huyu mchezaji sikumbuki kama aliachwa Simba au bado yupo. Ila ni muda sana sijamsikia. Mpaka nilipokuja soma hii post. Je kwenye mpira ndo basi tena? Je simba ndo basi tena?
Kulikoni kuelekea Mechi ya Leo ukimya Umetawala sana kiasi kwamba hata zile Kauli Mbiu zetu za Uwongo na Kweli za Kutiana Hamasa za Kipuuzi hatujazikia wakati Leo tuna Mechi ngumu dhidi ya Club...
Ninachojua Marehemu Leo anaogeshwa Dar es Salaam (Tanzania) na Maziko yake yatafanyika rasmi Jijini Tunis (Tunisia) tarehe 9 Novemba, 2022.
R.I.P Marehemu wa Kubebwa Tanzania NBC Premier League...
Yanga nawaombea sana washinde kesho pia waweze kuvuka. Wakivuka itakuwa vizuri sana kwasababu watabaki makundi na ratiba itawaumiza kama ambavyo Simba huumia. Wakitoka Simba tumekwisha maana sisi...
Ikiwa yamebaki masaa machache kuelekea mchezo wa Caf confederation cup utakaochezwa kesho jioni saa 10:00 Alasiri kati ya dar es Salam young African na club africain hali imekuwa tofauti kidogo...
Baada ya kuwafurusha Kipanga mabao saba, tumepewa hiki kikundi cha Wakongomani wa jangwani wanaoitwa Utopolo.
Tujipange kwa ajili ya sherehe pale kwa Mkapa na hitimisho kule Tunis.
Mpaka leo wachora katuni hutumia picha ya Kandambili kuwakilisha timu ya Yanga. Nakumbuka ni utani kati ya Yanga na Pan African, ndiyo ulileta jina la Kandambili Yanga na Raizoni Pan African...
Habari za mda huu wakuu
Nmekuja kuandika kuhusu mechi ya leo ya Yanga
Naona wanajisahau kwa kuona club Tunis ni ya Kawaida baada ya kufungwa 8 na TP mazembe .
Nawakumbusha tu yanga. Wao sio...
Kilichonifanya GENTAMYCINE niulize hili ni kwamba Gari yake ina miezi Mitatu sasa ni Mbovu ila leo iko Mtaani anapiga nayo Misele na Rangi kaibadilisha pia.
Pia kuna Viwanja Vinauzwa huko Chanika...
Kwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo...
Hongereni Simba kwa kusonga mbele group stage. Leo mechi niliiangalia kwa hawa viungo wa kati wa simba Mzamiru Yasin na Kanoute a.k.a Putin.
Kwanza majina yao ya utani yanaakisi wanachokifanya...
Ile kupigwa Kama ngoma ndo kesho.
Yanga niliwambia msim huu mtapanda ndege Mara mbili tu baada ya Apo Ni mwendo wa Bus Yutong , bajaji, boda, bolt.
Mngepanda ndege walau Mara tatu lakin wale...
Wasalam wana JF,
Wakati tunajiandaa kuwashuhudia ndugu Watanzania wenzetu hapo kesho kwenye mtifuano wa shirikisho, tuangazie wafungaji bora wa ligi yetu kwa misimu mitano iliyopita.
Hii...
Mimi siyo wa kulalamika but nimefatilia uchezaji wa MAKAMBO na KISINDA kwa msimu huu hakuna kitu wanaisaidia timu bora wapelekwe hata Simba SC kwa mkopo.
Ni kweli sisi ni unbeaten, Tunaongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.