Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habarini wana-JF. Je,Kuna uwezekano wa kinyesi cha binadami hutengenezwa chakula? Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello wana Forum, Ni imani yangu kwamba baadhi humu mnautambua ugonjwa huo tajwa. Sasa mimi nina ndugu yangu wa karibu ambaye anasumbuliwa na kichwa ambacho kila nikitafakari nazidi kupata hisia...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
  • Redirect
Naomba nipewe njia sahihi ya namna ya kupata watoto mapacha.
0 Reactions
Replies
Views
Mwezi wa 8 mwaka huu 2016 ulikuwa mwezi ambao watu wengi niliwaona wakifanya mazoezi ya miili yao kwa ajili ya kujenga afya zao kuliko kawaida tuwaonavyo siku zote, lakini ninashangaa mwezi huu wa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kupewa maana ya kipimo hiki VDRL
1 Reactions
3 Replies
754 Views
Je kitendo cha kukaza kwa misuli ya mguu hua mara nyingi inawapata wachezaji wa mpira wa miguu kinaitwaje kisayansi na kinasababishwa nanini?????? Naombeni mnisaidie wana JF
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Redirect
Heshima kwenu wana JF, Kuna hii tatizo la viganja vya miguu kuwaka moto na haswa tatizo linakuwa kubwa nyakati za usiku wakati wa kulala mpaka unashindwa kupata usingizi kwa...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
wataalam wa jf nimekuwa napata shida wakati wa usiku ninaposhtuka kutoka usingizini, ninasikia vidole vya mikononi vimekufa ganzi. Hali hii ikitokea inachukua kama sekunde 30 ndo hali inarudia...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nimekua nikihangaika sana wakuu kwa kutafuta ni dawa gani itanisaidia lakini nimefikia kuambulia matokeo mabovu..nimeshatumia vidonge mwezi mzima lkn ni kma nachochea..unaanzia kichwani mpaka...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nilianza kuota ndevu takribani miaka 7 iliyopita, katika miaka 2 ya mwanzo nilifurahia kua na ndevu na nilinyoa ndevu kwa staili yoyote ile niipendayo. Baada ya muda huo nilianza kusumbuliwa na...
1 Reactions
Replies
Views
Mwezi wa 6, nliweka uzi kwamba nlitembea na dem mwenye ukimwi tarehe 15-06-2016 nlipiga kavu mara3 mfululizo nkashtuliwa kesho yake kwama demu kaathirika fasta nkamfata nkamwambia twende tukachek...
0 Reactions
52 Replies
8K Views
Nilipata matatizo kama miezi 6 iliyopita stress zote nikazihamisha kwenye chakula. Nimeongezeka uzito na mwili ambao kuupata kwa muda mrefu gym unaanza kupotea, nimepata likizo nataka kufanya a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini ndugu zangu wa humu! natumaini wote humu ni wazima wa afya. wataalamu mimi nataka nirefushe mdudu wangu ikiwezekana ufikie INCH 6 na unene unaotosha kwa matumizi yale. mimi nnao wa...
1 Reactions
42 Replies
18K Views
Hellow jf,hivi kuna madhara yoyote yanayoweza kutokea kwa kiumbe kilichopo tumboni endapo mjamzito atakuwa anakunywa redd's kipindi cha ujauzito?
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Kuna kautafiti kamefanywa eti wanawake wanapenda sana kuhudumiwa na madaktari wanaume sababu ni wapole na wanawajali. Je wadada/wanawake hii ni kweli mnapenda kuhudumiwa na madaktari wanaume...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wandugu! Nina mwenzangu ambaye ana ujauzito wa miez 4 sasa. lakin kwa bahati nzuri/mbaya siishi nae .Yeye yupo Iringa na Mimi nipo Mwanza. Hivyo basi ningependa kujua mbali na matumizi ya...
0 Reactions
22 Replies
20K Views
  • Redirect
...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Maomboni kufahamu njia salama ya kulefusha uume bila madhara
0 Reactions
Replies
Views
Hello JF doctors Hebu tupeane Elimu kidogo hapa Je Ni Kawaida kwa Mwanamke Kubleed baada Ya Mimba Kujulikana Week 3 baadae. Na Bleed yake Ni Nyepesi ya Kawaida kama anavyopata Nimejaribu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Me ni mdada mwenye umri wa miaka 25 nimekuwa nikipata vichomi sehemu za siri haswa siku ya 12-15 ya mzunguko wangu wa hedhi. Yani vichomi vinakuwa vikali hata kutembea inakuwa kazi,mara nyingine...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom