Naibu spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu leo bungeni amemtaka Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko kufuata taratibu za bunge ikiwa ana tatizo lolote na yeye baada ya tofauti kutokea kati yao wakati bunge likiendelea.
Naibu spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu leo bungeni amemtaka Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko kufuata taratibu za bunge ikiwa ana tatizo lolote na yeye baada ya tofauti kutokea kati yao wakati bunge likiendelea.
Habari Wakuu, Ili kuzifikia nyuzi hizi kirahisi, hapa utapata orodha yote ya mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kwenye ushiriki wa Uchaguzi Mkuu 2025, ambamo ndani yake utapata links za matukio yote yanayojiri katika mikoa husika mpaka kufikia kwenye uchaguzi wenyewe, matokeo ya uchaguzi huo...
Tanzania hatuna Bunge. Wabunge woote ni machawa wa Mama. Akili ndogo kuongoza Akili Kubwa.
Wabunge Darasa la 7 kina Johnstone Lusinde a.k.a KIBAJAJI na Joseph Kasheku a.k.a MSUKUMA ndo eti wana Uwezo wa kujenga hoja za Uchawa Bungeni!!! Halafu kuna Wabunge ni madokta na maprofesa wamenyanaza kimyaaaa/ hawana HOJA. Professorial Rubbish in TAL words!!