Hata mimi karibu nitauza,nimelipia mwezi mzima lakini wakati wote hakuna channel ,channel zinapotelea mapangoni,pia nimechoka kuwaita magfundi kuja kurekebisha,Zuku ni kama Tanesco,pia vipindi vyao ni kama ''marudio baada ya taarifa''ya enzi za RTD yaani kila siku ndiyo ya jana,vipindi vinajirudia rudia vile vile kwa mwezi mzima sasa sioni faida ya kukaa na kuangalia kwani shamaliza kuangalia,itabidi nirudi Startimes,ama kweli usiwatukane mamba ungali hujavuka mto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.