manywangari jean malonkwa
Senior Member
- Mar 17, 2016
- 193
- 188
Zitto Zuberi Kabwe, home boy wangu, huku kuna kamsemo kanasema "Ahuli halabhandi" (yaani ulipo walikuwepo wengine), ndio! Alikuwepo Mwalimu, akaja Ben, Mzee Ruksa, Jakaya na sasa Pombe Joseph, naye ataondoka atakuja mwingine, walikuwepo Aman Waridi Kaburu, na Augustine Lyatonga Mrema, nao wamepita, ni utaratibu wa kawsida wa maisha!. Lkn wote hawa watakumbukwa kwa waliyoyafanya yawe mema au mabaya.
Zitto Zuberi Kabwe ni moja ya vijana kwenye akili kubwa sana, wenye mvuto wa hali ya juu, bingwa wa kujenga hoja, mtu ambaye anaweza kuigeuza hoja ya kawaida kuwa nzito na Mwenye ushawishi kwa kada zote za watu, mtu ambaye akisimama na kujenga hoja utatamani aendelee, mbunge ambaye inawezekana anaongoza kwa kutoa hoja na michango mjarabu kwa mda wa miaka kumi na ushee sasa. Kijana ambaye nathubutu kusema ameleta Mapinduzi ktk bunge ikiwemo kuwavutia vijana wengi kufanya siasa ma pengine kuwashawishi wazee kuanza kuwaamini vijana ktk nafasi Fulani Fulani.kiufupi ukiulizwa umwelezee unaweza kesha na usimalize.
Lkn pamoja na hayo yote Zitto Kabwe kwa mda wa miaka kumi, amekuwa akiwaacha watu na maswali yasiyo na majibu, Zitto ameiangusha serikali ya awamu ya 4 Mara kibao na yeye hujigamba hvo hadharani, lkn kamwe hatukuwahi kuona akikiona cha motto kama makamanda wengine, amewaangusha mawaziri kibao na viongoz waandamizi kibao na kutamka hadharani kuwa hajawahi kushindwa vita, viongozi kadhaa waliowahi kukutana na timbwili lake waliishia kulalama tu kama watoto wadogo.
Ni zitto huyu ambaye mwaka 2010 aliibuka mbunge pekee kupitia CHADEMA mkoani kigoma huku NCCR iliyokuwa haijawekeza chochote Kigoma ikitoka na wabunge 4, Zitto huyu alishawahi kuungana na Mzee Machache kumchakaza Prof. Mhongo, mtu aliyeonekana kufanya kazi iliyotukuka pale Nishati, Zitto hachukui posho kitambo, aliwaacha Lema na Mama Makinda na maswali kibao kwani kwao posho ndo maisha ya wabunge.
Zitto huyu huyu, ktk tamhtiriya ya Escrow, alituletea majina, account na kiasi cha pesa kilichochukuliwa kupitia mkombozi Bank, lkn hadi kesho majina, account na pesa zilizochukuliwa pale Stanbick pamoja na kuwajua na nyenzo zilizotumia Kubenea hajawahi kutueleza, watu tukabaki na maswali aliwezaje Mkombozi akashindwa Stanbick, Zitto huyu pekee yake kati ya mashujaa watatu wa Escrow Saga aliyerudi bungeni, jamani Zitto!! Huyu jamaa alipambana na CDM last year akiwa jeshi la mtu mmoja, watu wakamtabilia kifo cha kisiasa lkn wapi!
Sasa mambo yanabadilika, mda unakwenda kasi, kwa mbali naye anaanza kuisoma namba, sasa ameanza kujihami, ni kama kuna kitu kimemkurupusha toka kichaka alipozoea kustarehe, kwa Mara ya kwanza Zitto kkt mapambano ameomba msaada toka kwa walee, lkn pia ni kama anawaonya wale wamzuie huyu anayemkurupusha toka kwenye kichaka chake, maana akimalizana naye nao hawatapona.
Sisi wasoma namba tuliokubuhu tunamkaribisha ubaoni, kitu kizuri ni kuwa usomaji namba wa Zitto ni wa aina yake, maana unaendana na kujibiwa kwa maswali yetu ya mda mrefu! Karibu tuisome namba kwa pamoja!
Zitto Zuberi Kabwe ni moja ya vijana kwenye akili kubwa sana, wenye mvuto wa hali ya juu, bingwa wa kujenga hoja, mtu ambaye anaweza kuigeuza hoja ya kawaida kuwa nzito na Mwenye ushawishi kwa kada zote za watu, mtu ambaye akisimama na kujenga hoja utatamani aendelee, mbunge ambaye inawezekana anaongoza kwa kutoa hoja na michango mjarabu kwa mda wa miaka kumi na ushee sasa. Kijana ambaye nathubutu kusema ameleta Mapinduzi ktk bunge ikiwemo kuwavutia vijana wengi kufanya siasa ma pengine kuwashawishi wazee kuanza kuwaamini vijana ktk nafasi Fulani Fulani.kiufupi ukiulizwa umwelezee unaweza kesha na usimalize.
Lkn pamoja na hayo yote Zitto Kabwe kwa mda wa miaka kumi, amekuwa akiwaacha watu na maswali yasiyo na majibu, Zitto ameiangusha serikali ya awamu ya 4 Mara kibao na yeye hujigamba hvo hadharani, lkn kamwe hatukuwahi kuona akikiona cha motto kama makamanda wengine, amewaangusha mawaziri kibao na viongoz waandamizi kibao na kutamka hadharani kuwa hajawahi kushindwa vita, viongozi kadhaa waliowahi kukutana na timbwili lake waliishia kulalama tu kama watoto wadogo.
Ni zitto huyu ambaye mwaka 2010 aliibuka mbunge pekee kupitia CHADEMA mkoani kigoma huku NCCR iliyokuwa haijawekeza chochote Kigoma ikitoka na wabunge 4, Zitto huyu alishawahi kuungana na Mzee Machache kumchakaza Prof. Mhongo, mtu aliyeonekana kufanya kazi iliyotukuka pale Nishati, Zitto hachukui posho kitambo, aliwaacha Lema na Mama Makinda na maswali kibao kwani kwao posho ndo maisha ya wabunge.
Zitto huyu huyu, ktk tamhtiriya ya Escrow, alituletea majina, account na kiasi cha pesa kilichochukuliwa kupitia mkombozi Bank, lkn hadi kesho majina, account na pesa zilizochukuliwa pale Stanbick pamoja na kuwajua na nyenzo zilizotumia Kubenea hajawahi kutueleza, watu tukabaki na maswali aliwezaje Mkombozi akashindwa Stanbick, Zitto huyu pekee yake kati ya mashujaa watatu wa Escrow Saga aliyerudi bungeni, jamani Zitto!! Huyu jamaa alipambana na CDM last year akiwa jeshi la mtu mmoja, watu wakamtabilia kifo cha kisiasa lkn wapi!
Sasa mambo yanabadilika, mda unakwenda kasi, kwa mbali naye anaanza kuisoma namba, sasa ameanza kujihami, ni kama kuna kitu kimemkurupusha toka kichaka alipozoea kustarehe, kwa Mara ya kwanza Zitto kkt mapambano ameomba msaada toka kwa walee, lkn pia ni kama anawaonya wale wamzuie huyu anayemkurupusha toka kwenye kichaka chake, maana akimalizana naye nao hawatapona.
Sisi wasoma namba tuliokubuhu tunamkaribisha ubaoni, kitu kizuri ni kuwa usomaji namba wa Zitto ni wa aina yake, maana unaendana na kujibiwa kwa maswali yetu ya mda mrefu! Karibu tuisome namba kwa pamoja!