Nimekuwa nafuatilia kwa makini hali ya siasa za tanzania hasa ndani ya CHADEMA tangu kabla na baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Katika uchaguzi wa mwaka 2010, GAZETI LA MWANAHALISI liliwahi kuripoti taarifa za Zitto kabwe kushirikiana na Usalama wa taifa pamoja na CCM kuihujumu chadema; Mwanahalisi waliweka mpaka ushahidi wa simu (conversion) baina ya zito kabwe na wana usalama-Zitto hakuwahi kutishia kulishtaki gazeti wala mwanandishi-Hii ni tafsiri kwamba tuhuma zile zilikuwa za kweli.
KINACHOENDELEA SASA:
Kinachoendelea sasa; 1. UKAGUZI MATUMIZI YA FEDHA NDANI YA VYAMA. Jamani haihitaji kuwa hata na busara kidogo kujua Zitto Kabwe anatumiwa. Ni sawa nakubaliana na ukaguzi aliotaka kuufanya Zitto kabwe, HIVI NI RAHISI KUKATA TAWI WAKATI UMELIKALIA? UNAWEZA KUICHOMA MOTO NYUMBA YAKO MWENYEWE WAKATI UPO NDANI NA WEWE!
2. KWENDA KINYUME NA MAAMUZI YA CHAMA. Kama chama naamini huwa maamuzi yanayofanyika bungeni yanajadiliwa kabla ya kuingia bungeni! Kama wakisema leo wote tutoke nje kama kutakuwa na hili na hile wanaamua kwa pamoja!! NI LINI ZITTO KABWE AMEWAHI KUFANYA MAAMUZI YA PAMOJA KAMA HAYO???? Najua mtajitetea kuwa alikuwa na dharura, hakuwepo.............. kwa nini siku hizo zote huwa hayupo?????? hadi swala la katiba??????????? hakuwepo? au alijua/alihisi so hakutaka kuwakwaza CCM????
USHAURI WANGU: ZITTO ZUBERI KABWE!!!! Kila kukicha watanzania wana-AMKA usingizini; sasa hivi kila mwenye akili timamu anafahamu wewe unatumiwa- Najua kuwa wewe ni MJANJA SANA SANA, UKIPEWA MUDA HATA DAKIKA 10 TU UJITETEE KILA MTU ATAAMINI WEWE NI MKWELI; UNA MANENO MAZURI/MATAMU........CHADEMA na wasomi (waliofika angalau kidato cha nne) wengi wanafahamu hilo siku nyingi. SASA NI MUDA WA WEWE KUBADILIKA. Hautoweza kuiadhibu Chadema; Elewa kuwa ndani ya CCM YENYEWE KUNA WATU WANAICHUKIA CCM....NA HAO NDIO WANALETA TAARIFA ZA CCM CHADEMA. Chadema wanaelewa mchezo wote unaoufanya na vikao unavyokaa na pesa unazolipwa; Hawawezi kukubali yote hayo kwenye public kwa sababu CHADEMA WANAOGOPA MTEGO WA CCM, Chadema wanaelewa, wakikufukuza wewe wataleta mpasuko mkubwa kwenye chama, kwani kuna MAMBULULA wachache wasioelewa UJINGA UNAOUFANYA HAWA WATAKUFUATA....HATUTAKI KUFIKA HUKO. "nitaondoka nitaondoka nitakwenda kwa baba yangu (chadema) na kumwambia baba baba ba ba ba ba nimekosa mbele ya chadema na wananchi wote" Utasamehewa tu.
NINACHOKIONA NDANI YA CHADEMA! Chadema wameshajua mtego wa CCM, wao hawagombani na wewe, wamekuwa Ukuta....wewe utapigaaaaaaa halafu utakuwa unaumia mwenyewe..... Chadema wanaelewa CCM hawaaminiki hata siku moja!!!!!!!!!!! kuna siku watakuacha pekee yako. Halafu wanakufanya --------; Wanachokifanya Mmoja anatumwa kukuchokoza, wewe kwa uelewa mdogo unakurupuka, halafu Chama kinakana kuwa si maamuzi yake na kwamba HAWANA UGONVI NA WEWE. CHADEMA WANAAKILI SAAAAAAAAAAAAANA.
NANI MSAADA MKUBWA KWENYE MAAMUZI YA CHADEMA KAMA HAYA.
Wanaoisaidia Chadema ni wengi sana sana sana; wengi wao watakuwa wanatuma ushauri wa siri bila mtu kujitaja jina wala cheo chake....naamini huwa hawapuuzi hata siku moja; Usishangae hata watu wako baadhi ndani ya CCM wanaishauri chadema wa-deal vipi na wewe! Naomba ufuatilie mimi ni nani na ikiwezekana uni-inbox, nipe secret e-mail address yako nitakueleza mipango yako yote uliyonayo dhidi ya chadema.
WATANZANIA KILA KUKICHA WANAAMKA-KUWA MAKINI SANA ZITTO KABWE-UTAUMBUKA. HAKUNA SIRI YA MTU ZAIDI YA MMOJA.
KINACHOENDELEA SASA:
Kinachoendelea sasa; 1. UKAGUZI MATUMIZI YA FEDHA NDANI YA VYAMA. Jamani haihitaji kuwa hata na busara kidogo kujua Zitto Kabwe anatumiwa. Ni sawa nakubaliana na ukaguzi aliotaka kuufanya Zitto kabwe, HIVI NI RAHISI KUKATA TAWI WAKATI UMELIKALIA? UNAWEZA KUICHOMA MOTO NYUMBA YAKO MWENYEWE WAKATI UPO NDANI NA WEWE!
2. KWENDA KINYUME NA MAAMUZI YA CHAMA. Kama chama naamini huwa maamuzi yanayofanyika bungeni yanajadiliwa kabla ya kuingia bungeni! Kama wakisema leo wote tutoke nje kama kutakuwa na hili na hile wanaamua kwa pamoja!! NI LINI ZITTO KABWE AMEWAHI KUFANYA MAAMUZI YA PAMOJA KAMA HAYO???? Najua mtajitetea kuwa alikuwa na dharura, hakuwepo.............. kwa nini siku hizo zote huwa hayupo?????? hadi swala la katiba??????????? hakuwepo? au alijua/alihisi so hakutaka kuwakwaza CCM????
USHAURI WANGU: ZITTO ZUBERI KABWE!!!! Kila kukicha watanzania wana-AMKA usingizini; sasa hivi kila mwenye akili timamu anafahamu wewe unatumiwa- Najua kuwa wewe ni MJANJA SANA SANA, UKIPEWA MUDA HATA DAKIKA 10 TU UJITETEE KILA MTU ATAAMINI WEWE NI MKWELI; UNA MANENO MAZURI/MATAMU........CHADEMA na wasomi (waliofika angalau kidato cha nne) wengi wanafahamu hilo siku nyingi. SASA NI MUDA WA WEWE KUBADILIKA. Hautoweza kuiadhibu Chadema; Elewa kuwa ndani ya CCM YENYEWE KUNA WATU WANAICHUKIA CCM....NA HAO NDIO WANALETA TAARIFA ZA CCM CHADEMA. Chadema wanaelewa mchezo wote unaoufanya na vikao unavyokaa na pesa unazolipwa; Hawawezi kukubali yote hayo kwenye public kwa sababu CHADEMA WANAOGOPA MTEGO WA CCM, Chadema wanaelewa, wakikufukuza wewe wataleta mpasuko mkubwa kwenye chama, kwani kuna MAMBULULA wachache wasioelewa UJINGA UNAOUFANYA HAWA WATAKUFUATA....HATUTAKI KUFIKA HUKO. "nitaondoka nitaondoka nitakwenda kwa baba yangu (chadema) na kumwambia baba baba ba ba ba ba nimekosa mbele ya chadema na wananchi wote" Utasamehewa tu.
NINACHOKIONA NDANI YA CHADEMA! Chadema wameshajua mtego wa CCM, wao hawagombani na wewe, wamekuwa Ukuta....wewe utapigaaaaaaa halafu utakuwa unaumia mwenyewe..... Chadema wanaelewa CCM hawaaminiki hata siku moja!!!!!!!!!!! kuna siku watakuacha pekee yako. Halafu wanakufanya --------; Wanachokifanya Mmoja anatumwa kukuchokoza, wewe kwa uelewa mdogo unakurupuka, halafu Chama kinakana kuwa si maamuzi yake na kwamba HAWANA UGONVI NA WEWE. CHADEMA WANAAKILI SAAAAAAAAAAAAANA.
NANI MSAADA MKUBWA KWENYE MAAMUZI YA CHADEMA KAMA HAYA.
Wanaoisaidia Chadema ni wengi sana sana sana; wengi wao watakuwa wanatuma ushauri wa siri bila mtu kujitaja jina wala cheo chake....naamini huwa hawapuuzi hata siku moja; Usishangae hata watu wako baadhi ndani ya CCM wanaishauri chadema wa-deal vipi na wewe! Naomba ufuatilie mimi ni nani na ikiwezekana uni-inbox, nipe secret e-mail address yako nitakueleza mipango yako yote uliyonayo dhidi ya chadema.
WATANZANIA KILA KUKICHA WANAAMKA-KUWA MAKINI SANA ZITTO KABWE-UTAUMBUKA. HAKUNA SIRI YA MTU ZAIDI YA MMOJA.