East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Tayari serikali imesema ina akiba ya tani mil 3 na kwa sasa itagawa tani 1.5 milion. Ukipiga hesabu ni sawa na kusema milioni 3 x 10 ni sawa na milioni 30. (kila tani moja ni gunia 10
Je ni kweli kuwa serikali ina magunia milioni 30?
Je imezihifadhi wapi?
Je ile taarifa ya kuwa mwaka huu wamenunua tani 90 elfu na mwaka jjuzi tani 400 elfu sasa hizi tani mil 3 yaani gunia milioni 30 zilinunuliwa lini?
Na je uwezo wa NRFA ni kuhufadhi tani ngapi?
Naomba tafakuri
Je ni kweli kuwa serikali ina magunia milioni 30?
Je imezihifadhi wapi?
Je ile taarifa ya kuwa mwaka huu wamenunua tani 90 elfu na mwaka jjuzi tani 400 elfu sasa hizi tani mil 3 yaani gunia milioni 30 zilinunuliwa lini?
Na je uwezo wa NRFA ni kuhufadhi tani ngapi?
Naomba tafakuri