Zitto Kabwe achana na sensational politics

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,996
Baadaya Zitto kudai kwenye mkutano wa hadhara kuwa Chama cha ACT-Wazalendo kitawasilisha bungeni hoja ya kutokuwa na imani na Rais Magufuli kufuatia sakata la njaa ambapo baadhi ya wananchi wanakufa kwa kukosa chakula. Baadhi ya watu wamepongeza na wengine kwenda mbali zaidi na kudai apeleke hoja yake katika bunge linaloanza tarehe 31 Januri 2017.

Ninaamini Zitto hakutoa hoja hii kwa kutokujua bali alifanya hivyo kwa sababu anaendesha siasa zinazoitwa Politics of stupid.

Politics of stupid involves sensational politics which are intended to be shocking and exciting rather than serious.

Siasa anazofanya Zitto ni aina ya siasa ambazo zinashtua na kutia moyo kundi la watu ambao hawana uelewa wa sheria, hali halisi ya kisiasa na kiuchumi nchini.

Zitto ananikumbusha sensational politics za Obama wakati hajaingia madarakani hasa kuhusu gereza la Guantanamo Bay, Cuba.

Wakati wa kampeni alisikika mara nyingi akisema“I will shut down the prison at Guantanamo. It is expensive, it is unnecessary, and it only serves as a recruitment brochure for our enemies,”

Waliofahamu ukweli wa siasa za Marekani na mazingira yake walimshangaa huku wengine wakimcheka lakini baadhi ya watu waliamini kama wale wanaoamini maneno ya Zitto kuhusu kupeleka hoja bungeni ya ku-impeach Rais Magufuli.

Mwezi January 2009, siku ya pili baada ya Rais Obama kuapishwa alitoa an executive order iliyoelekeza kufungwa kwa gereza ndani ya mwaka mmoja.

Wafungwa baada ya kusikia habari hiyo, walianza kupiga kelele kwa walinzi wakisema,“Have you heard? We’re getting out of here!”. Obama anaondoka na gereza halijafungwa. This is Politics of stupid.

Katika kitabu cha Mwl.Nyerere kinachoitwa ''Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania'' ambacho kilitoka mwaka 1993, Mwl. Nyerere alinukuliwa akisema, ‘’Narudia: kumbadili Waziri, hata Waziri Mkuu, si jambo la ajabu. Anaweza kujiuzulu, anaweza kufukuzwa na nchi isitikisike. Lakini huwezi kumtikisa Rais wa nchi bila kuitikisa nchi yenyewe. Ni vizuri jambo hili likatamkwa wazi wazi na likaeleweka sawa sawa. Maana watu wengine wananong'onanong' ona kuwajibika kwa Rais kana kwamba ni jambo la mchezo mchezo tu. Kulazimika kumchukulia hatua Rais wa nchi ni mkasa na balaa kwa nchi yoyote ile’’.

Hoja ya Mwl. Nyerere ilisadifu ukweli ambao hata baadhi ya wanasiasa wa kambi ya upinzani wanafahamu ukweli huo katika mazingira ya sheria na siasa zetu.

Wakati akichangia kwenye Mjadala ya Kashfa ya Tegeta escrow account, Waziri Kivuli wa Sheria na Katiba, Tundu Lissu alinukuliwa akisema, ‘’Tunafahamu utaratibu wa kumu-impeach Rais ni mgumu, tuanze na Waziri Mkuu ambaye tunamuweza humu ndani wakati tunafikiria namna ya kumu-Impeach huyu aliye authorize malipo ya mabilioni haya, tuanze na hawa tunaowaweza, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Profesa Muhongo, Profesa Tibaijuka na majizi yote yaliyotajwa humu tuanze nayo’’.

Kuna baadhi ya watanzania wajinga wanaamini Zitto atawasaidia kumuondoa Rais Magufuli kwenye kiti cha Urais badala ya kutumia sanduku la kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Hawa ni aina ya Watanzania ambao wanaweza kuamini kama Zitto akijitokeza na kuwaambia anaweza kutembea kwa miguu kutoka Tanzania mpaka Marekani.

Siasa za kweli hubeba uhalisia na sio delution and theory.

Politics of stupid hukonga nyonyo za blind followers lakini hazina manufaa yoyote katika ukuaji wa chama.

Chama cha ACT-Wazalendo hakiwezi kukua na kuimarika kwa kutegemea politics of stupid.

Zitto unatakiwa uijenge ACT-Wazalendo katika msingi wa siasa zilizobeba uhalisia katika mazingira ya kisiasa nchini. Achana na sensational politics.
 
Umechanganya mada mbili tofauti zenye mazingira tofauti kabisa kwanza Obama alikua katika mpango wa kulifunga hilo gereza kwa kuwatoa wafungwa 180 kwa kipindi chake wakati Trump aliongea katika kampeni zake kuwa hawezi kulifunga hilo gereza litaweza kutumika mpaka kwa raia wa USA wale wenye kesi za hatari kuhusu Zitto umeamua tuu kumshambulia ila anajitahidi kuongea vitu vyenye uhalisia kabisa.
 
Baadaya Zitto kudai kwenye mkutano wa hadhara kuwa Chama cha ACT-Wazalendo kitawasilisha bungeni hoja ya kutokuwa na imani na Rais Magufuli kufuatia sakata la njaa ambapo baadhi ya wananchi wanakufa kwa kukosa chakula. Baadhi ya watu wamepongeza na wengine kwenda mbali zaidi na kudai apeleke hoja yake katika bunge linaloanza tarehe 31 Januri 2017.

Ninaamini Zitto hakutoa hoja hii kwa kutokujua bali alifanya hivyo kwa sababu anaendesha siasa zinazoitwa Politics of stupid.

Politics of stupid involves sensational politics which are intended to be shocking and exciting rather than serious.

Siasa anazofanya Zitto ni aina ya siasa ambazo zinashtua na kutia moyo kundi la watu ambao hawana uelewa wa sheria, hali halisi ya kisiasa na kiuchumi.

Zitto ananikumbusha sensational politics za Obama wakati hajaingia madarakani hasa kuhusu gereza la Guantanamo Bay, Cuba.

Wakati wa kampeni alisikika mara nyingi akisema“I will shut down the prison at Guantanamo. It is expensive, it is unnecessary, and it only serves as a recruitment brochure for our enemies,”

Waliofahamu ukweli wa siasa za Marekani na mazingira yake walimshangaa huku wengine wakimcheka lakini baadhi ya watu waliamini kama wale wanaoamini maneno ya Zitto kuhusu kupeleka hoja bungeni ya ku-impeach Rais Magufuli.

Mwezi January 2009, siku ya pili baada ya Rais Obama kuapishwa alitoa an executive order iliyoelekeza kufungwa kwa gereza ndani ya mwaka mmoja.

Wafungwa baada ya kusikia habari hiyo, walianza kupiga kelele kwa walinzi wakisema,“Have you heard? We’re getting out of here!”. Obama anaondoka na gereza halijafungwa. This is Politics of stupid.

Katika kitabu cha Mwl.Nyerere kinachoitwa ''Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania'' ambacho kilitoka mwaka 1993, Mwl. Nyerere alinukuliwa akisema, ‘’Narudia: kumbadili Waziri, hata Waziri Mkuu, si jambo la ajabu. Anaweza kujiuzulu, anaweza kufukuzwa na nchi isitikisike. Lakini huwezi kumtikisa Rais wa nchi bila kuitikisa nchi yenyewe. Ni vizuri jambo hili likatamkwa wazi wazi na likaeleweka sawa sawa. Maana watu wengine wananong'onanong' ona kuwajibika kwa Rais kana kwamba ni jambo la mchezo mchezo tu. Kulazimika kumchukulia hatua Rais wa nchi ni mkasa na balaa kwa nchi yoyote ile’’.

Hoja ya Mwl. Nyerere ilisadifu ukweli ambao hata baadhi ya wanasiasa wa kambi ya upinzani wanafahamu ukweli huo katika mazingira ya sheria na siasa zetu.

Wakati akichangia kwenye Mjadala ya Kashfa ya Tegeta escrow account, Waziri Kivuli wa Sheria na Katiba, Tundu Lissu alinukuliwa akisema, ‘’Tunafahamu utaratibu wa kumu-impeach Rais ni mgumu, tuanze na Waziri Mkuu ambaye tunamuweza humu ndani wakati tunafikiria namna ya kumu-Impeach huyu aliye authorize malipo ya mabilioni haya, tuanze na hawa tunaowaweza, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Profesa Muhongo, Profesa Tibaijuka na majizi yote yaliyotajwa humu tuanze nayo’’.

Kuna baadhi ya watanzania wajinga wanaamini Zitto atawasaidia kumuondoa Rais Magufuli kwenye kiti cha Urais badala ya kutumia sanduku la kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Hawa ni aina ya Watanzania ambao wanaweza kuamini kama Zitto akijitokeza na kuwaambia anaweza kutembea kwa miguu kutoka Tanzania mpaka Marekani.

Siasa za kweli hubeba uhalisia na sio delution and theory.

Politics of stupid hukonga nyonyo za blind followers lakini hazina manufaa yoyote katika ukuaji wa chama.

Chama cha ACT-Wazalendo hakiwezi kukua na kuimarika kwa kutegemea politics of stupid.

Zitto unatakiwa uijenge ACT-Wazalendo katika msingi wa siasa zilizobeba uhalisia katika mazingira ya kisiasa nchini. Achana na sensational politics.
Asante mkubwa zitto wamemlea ila sio mtu mzuri huyu kijana sio mzuri. Nimekuwa nikimkumbusha hana weledi wakumnyooshea kidole Rais na kike anakifanya niuhaini. Nashukuru vyombo vya usalama vimeshamuona nakumfanyia kaxi
 
Umechanganya mada mbili tofauti zenye mazingira tofauti kabisa kwanza Obama alikua katika mpango wa kulifunga hilo gereza kwa kuwatoa wafungwa 180 kwa kipindi chake wakati Trump aliongea katika kampeni zake kuwa hawezi kulifunga hilo gereza litaweza kutumika mpaka kwa raia wa USA wale wenye kesi za hatari kuhusu Zitto umeamua tuu kumshambulia ila anajitahidi kuongea vitu vyenye uhalisia kabisa.
Hoja zangu zinashabihiana.

Obama aliwadanganya wananchi atalifunga gereza lakini ameondoka bila kulifunga. Zitto anasema atamu-impeach Rais Magufuli wakati anafahamu mazingira ya siasa nchini hayaruhusu.
 
Baadaya Zitto kudai kwenye mkutano wa hadhara kuwa Chama cha ACT-Wazalendo kitawasilisha bungeni hoja ya kutokuwa na imani na Rais Magufuli kufuatia sakata la njaa ambapo baadhi ya wananchi wanakufa kwa kukosa chakula. Baadhi ya watu wamepongeza na wengine kwenda mbali zaidi na kudai apeleke hoja yake katika bunge linaloanza tarehe 31 Januri 2017.

Ninaamini Zitto hakutoa hoja hii kwa kutokujua bali alifanya hivyo kwa sababu anaendesha siasa zinazoitwa Politics of stupid.

Politics of stupid involves sensational politics which are intended to be shocking and exciting rather than serious.

Siasa anazofanya Zitto ni aina ya siasa ambazo zinashtua na kutia moyo kundi la watu ambao hawana uelewa wa sheria, hali halisi ya kisiasa na kiuchumi.

Zitto ananikumbusha sensational politics za Obama wakati hajaingia madarakani hasa kuhusu gereza la Guantanamo Bay, Cuba.

Wakati wa kampeni alisikika mara nyingi akisema“I will shut down the prison at Guantanamo. It is expensive, it is unnecessary, and it only serves as a recruitment brochure for our enemies,”

Waliofahamu ukweli wa siasa za Marekani na mazingira yake walimshangaa huku wengine wakimcheka lakini baadhi ya watu waliamini kama wale wanaoamini maneno ya Zitto kuhusu kupeleka hoja bungeni ya ku-impeach Rais Magufuli.

Mwezi January 2009, siku ya pili baada ya Rais Obama kuapishwa alitoa an executive order iliyoelekeza kufungwa kwa gereza ndani ya mwaka mmoja.

Wafungwa baada ya kusikia habari hiyo, walianza kupiga kelele kwa walinzi wakisema,“Have you heard? We’re getting out of here!”. Obama anaondoka na gereza halijafungwa. This is Politics of stupid.

Katika kitabu cha Mwl.Nyerere kinachoitwa ''Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania'' ambacho kilitoka mwaka 1993, Mwl. Nyerere alinukuliwa akisema, ‘’Narudia: kumbadili Waziri, hata Waziri Mkuu, si jambo la ajabu. Anaweza kujiuzulu, anaweza kufukuzwa na nchi isitikisike. Lakini huwezi kumtikisa Rais wa nchi bila kuitikisa nchi yenyewe. Ni vizuri jambo hili likatamkwa wazi wazi na likaeleweka sawa sawa. Maana watu wengine wananong'onanong' ona kuwajibika kwa Rais kana kwamba ni jambo la mchezo mchezo tu. Kulazimika kumchukulia hatua Rais wa nchi ni mkasa na balaa kwa nchi yoyote ile’’.

Hoja ya Mwl. Nyerere ilisadifu ukweli ambao hata baadhi ya wanasiasa wa kambi ya upinzani wanafahamu ukweli huo katika mazingira ya sheria na siasa zetu.

Wakati akichangia kwenye Mjadala ya Kashfa ya Tegeta escrow account, Waziri Kivuli wa Sheria na Katiba, Tundu Lissu alinukuliwa akisema, ‘’Tunafahamu utaratibu wa kumu-impeach Rais ni mgumu, tuanze na Waziri Mkuu ambaye tunamuweza humu ndani wakati tunafikiria namna ya kumu-Impeach huyu aliye authorize malipo ya mabilioni haya, tuanze na hawa tunaowaweza, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Profesa Muhongo, Profesa Tibaijuka na majizi yote yaliyotajwa humu tuanze nayo’’.

Kuna baadhi ya watanzania wajinga wanaamini Zitto atawasaidia kumuondoa Rais Magufuli kwenye kiti cha Urais badala ya kutumia sanduku la kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Hawa ni aina ya Watanzania ambao wanaweza kuamini kama Zitto akijitokeza na kuwaambia anaweza kutembea kwa miguu kutoka Tanzania mpaka Marekani.

Siasa za kweli hubeba uhalisia na sio delution and theory.

Politics of stupid hukonga nyonyo za blind followers lakini hazina manufaa yoyote katika ukuaji wa chama.

Chama cha ACT-Wazalendo hakiwezi kukua na kuimarika kwa kutegemea politics of stupid.

Zitto unatakiwa uijenge ACT-Wazalendo katika msingi wa siasa zilizobeba uhalisia katika mazingira ya kisiasa nchini. Achana na sensational politics.
Even Magufuli anafanya hizi siasa amewahi kusema nikimtumbua Shinyanga siwezi kumpeleka Mtwara kampeleka bungeni, amewahi kusema kwenye Kampeni kuwa wanafunzi wote watapata mkopo leo wanafunzi hawana mikopo, Issue ya Makontena ilikuwa review two years back na ikaonekana huko nyuma TRA na TPA kuna ukwepaji kodi hii si ndo kufukua makaburi lakini kwa mambo yenye maslahi ya viongozi waliopita hafukui makaburi. Sasa hivi kama unaidai Serikali unatakiwa uoneshe 10 yrs Audited Report kuonesha ulilipa kodi inayostahiki sasa si kufukua Makaburi so stop nonsense even our first boy has same kind of politics
 
Mleta uzi umeandika na kukashifu kwamba hoja za Zito huwafaa wasiojua hali halisi, ni nani sasa hajui hali halisi kwa Tanzania? Hata kama tutaongelea uchumi, afya, elimu na kilimo kote kutaonekana jinsi gani kumepwaya.

Raisi kutikiswa Tanzania siyo nchi ya kwanza, ikiwa atatoka ni sawa na raisi ambaye alienda kuoga akaanguka bafuni akafa, tutachagua mwingine kipindi makamu anakaimu kwa muda.

Mtindo wa kutumia siasa za kutishana ni wa kizamani, akisimama yeye raisi anakwambia msifanye hivyo nchi itakua kama Rwanda/ Libya n.k, wajenga hoja wa mtandaoni mnatuletea nukuu ya Nyerere ya mwaka '93 ambayo kwa uhakika ilitolewa kipindi anahangaika na Tanzania kuiweka sawa katika kila sekta huku akihofia kuenguliwa kwenye nafasi yake.

Hii ni 2017, acheni hizo.
 
Asante mkubwa zitto wamemlea ila sio mtu mzuri huyu kijana sio mzuri. Nimekuwa nikimkumbusha hana weledi wakumnyooshea kidole Rais na kike anakifanya niuhaini. Nashukuru vyombo vya usalama vimeshamuona nakumfanyia kaxi
Zitto anatakiwa pia aachane na siasa za uanaharakati.
 
kiogwe Kwa hiyo na wewe unajaza komenti kinzani ili uteuliwe?

Shukrani zangu zikufikie kwa sababu unazisoma nyuzi zangu zote.

Kelele zako zinasadifu kuwa ujumbe wangu unauelewa vizuri lakini huna hoja mbadala.

Usichoke kusoma mada zangu!

Big up!
 
Hoja zangu zinashabihiana.

Obama aliwadanganya wananchi atalifunga gereza lakini ameondoka bila kulifunga. Zitto anasema atamu-impeach Rais Magufuli wakati anafahamu mazingira ya siasa nchini hayaruhusu.
Tafadhali sana siasa za nchi kama Marekani huziwezi na wala hufuatilii. Obama si tatizo la Guantamano! inatosha kwa kiwango chako

Pili, mbona huongelei Obama aliposema atarudisha uhusiano na Cuba na amefanya?

Tatu, kuna tatizo gani na hoja ikiwa katiba imeonyesha kinagaubaga 'impeachment'

Nne, je, hoja ya njaa aliyosema Zitto ni uongo?

Tano, chakula kinachogawiwa ni cha nini ikiwa wananchi wana shibe?

Sita, Tatizo la Tanzania ni Zitto au ni njaa aliyoongelea Zitto?

Saba, hizo 'stupid politics' ni zipi? Kutumbua na kukumbatia ina fit wapi katika siasa 'real'?
 
Baadaya Zitto kudai kwenye mkutano wa hadhara kuwa Chama cha ACT-Wazalendo kitawasilisha bungeni hoja ya kutokuwa na imani na Rais Magufuli kufuatia sakata la njaa ambapo baadhi ya wananchi wanakufa kwa kukosa chakula. Baadhi ya watu wamepongeza na wengine kwenda mbali zaidi na kudai apeleke hoja yake katika bunge linaloanza tarehe 31 Januri 2017.

Ninaamini Zitto hakutoa hoja hii kwa kutokujua bali alifanya hivyo kwa sababu anaendesha siasa zinazoitwa Politics of stupid.

Politics of stupid involves sensational politics which are intended to be shocking and exciting rather than serious.

Siasa anazofanya Zitto ni aina ya siasa ambazo zinashtua na kutia moyo kundi la watu ambao hawana uelewa wa sheria, hali halisi ya kisiasa na kiuchumi.

Zitto ananikumbusha sensational politics za Obama wakati hajaingia madarakani hasa kuhusu gereza la Guantanamo Bay, Cuba.

Wakati wa kampeni alisikika mara nyingi akisema“I will shut down the prison at Guantanamo. It is expensive, it is unnecessary, and it only serves as a recruitment brochure for our enemies,”

Waliofahamu ukweli wa siasa za Marekani na mazingira yake walimshangaa huku wengine wakimcheka lakini baadhi ya watu waliamini kama wale wanaoamini maneno ya Zitto kuhusu kupeleka hoja bungeni ya ku-impeach Rais Magufuli.

Mwezi January 2009, siku ya pili baada ya Rais Obama kuapishwa alitoa an executive order iliyoelekeza kufungwa kwa gereza ndani ya mwaka mmoja.

Wafungwa baada ya kusikia habari hiyo, walianza kupiga kelele kwa walinzi wakisema,“Have you heard? We’re getting out of here!”. Obama anaondoka na gereza halijafungwa. This is Politics of stupid.

Katika kitabu cha Mwl.Nyerere kinachoitwa ''Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania'' ambacho kilitoka mwaka 1993, Mwl. Nyerere alinukuliwa akisema, ‘’Narudia: kumbadili Waziri, hata Waziri Mkuu, si jambo la ajabu. Anaweza kujiuzulu, anaweza kufukuzwa na nchi isitikisike. Lakini huwezi kumtikisa Rais wa nchi bila kuitikisa nchi yenyewe. Ni vizuri jambo hili likatamkwa wazi wazi na likaeleweka sawa sawa. Maana watu wengine wananong'onanong' ona kuwajibika kwa Rais kana kwamba ni jambo la mchezo mchezo tu. Kulazimika kumchukulia hatua Rais wa nchi ni mkasa na balaa kwa nchi yoyote ile’’.

Hoja ya Mwl. Nyerere ilisadifu ukweli ambao hata baadhi ya wanasiasa wa kambi ya upinzani wanafahamu ukweli huo katika mazingira ya sheria na siasa zetu.

Wakati akichangia kwenye Mjadala ya Kashfa ya Tegeta escrow account, Waziri Kivuli wa Sheria na Katiba, Tundu Lissu alinukuliwa akisema, ‘’Tunafahamu utaratibu wa kumu-impeach Rais ni mgumu, tuanze na Waziri Mkuu ambaye tunamuweza humu ndani wakati tunafikiria namna ya kumu-Impeach huyu aliye authorize malipo ya mabilioni haya, tuanze na hawa tunaowaweza, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Profesa Muhongo, Profesa Tibaijuka na majizi yote yaliyotajwa humu tuanze nayo’’.

Kuna baadhi ya watanzania wajinga wanaamini Zitto atawasaidia kumuondoa Rais Magufuli kwenye kiti cha Urais badala ya kutumia sanduku la kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Hawa ni aina ya Watanzania ambao wanaweza kuamini kama Zitto akijitokeza na kuwaambia anaweza kutembea kwa miguu kutoka Tanzania mpaka Marekani.

Siasa za kweli hubeba uhalisia na sio delution and theory.

Politics of stupid hukonga nyonyo za blind followers lakini hazina manufaa yoyote katika ukuaji wa chama.

Chama cha ACT-Wazalendo hakiwezi kukua na kuimarika kwa kutegemea politics of stupid.

Zitto unatakiwa uijenge ACT-Wazalendo katika msingi wa siasa zilizobeba uhalisia katika mazingira ya kisiasa nchini. Achana na sensational politics.


Well said, Zitto bado anahisi watanzania ni wajinga na wanapenda kusikiliza upuuzi wake. Huyu mtu inabidi akamatwe tena haraka sana na achukuliwe hatua. Yeye anapenda kuzusha habari na kusingizia kuwa ana data, mwisho wa siku kimyaaaaa!
 
Baadaya Zitto kudai kwenye mkutano wa hadhara kuwa Chama cha ACT-Wazalendo kitawasilisha bungeni hoja ya kutokuwa na imani na Rais Magufuli kufuatia sakata la njaa ambapo baadhi ya wananchi wanakufa kwa kukosa chakula. Baadhi ya watu wamepongeza na wengine kwenda mbali zaidi na kudai apeleke hoja yake katika bunge linaloanza tarehe 31 Januri 2017.

Ninaamini Zitto hakutoa hoja hii kwa kutokujua bali alifanya hivyo kwa sababu anaendesha siasa zinazoitwa Politics of stupid.

Politics of stupid involves sensational politics which are intended to be shocking and exciting rather than serious.

Siasa anazofanya Zitto ni aina ya siasa ambazo zinashtua na kutia moyo kundi la watu ambao hawana uelewa wa sheria, hali halisi ya kisiasa na kiuchumi.

Zitto ananikumbusha sensational politics za Obama wakati hajaingia madarakani hasa kuhusu gereza la Guantanamo Bay, Cuba.

Wakati wa kampeni alisikika mara nyingi akisema“I will shut down the prison at Guantanamo. It is expensive, it is unnecessary, and it only serves as a recruitment brochure for our enemies,”

Waliofahamu ukweli wa siasa za Marekani na mazingira yake walimshangaa huku wengine wakimcheka lakini baadhi ya watu waliamini kama wale wanaoamini maneno ya Zitto kuhusu kupeleka hoja bungeni ya ku-impeach Rais Magufuli.

Mwezi January 2009, siku ya pili baada ya Rais Obama kuapishwa alitoa an executive order iliyoelekeza kufungwa kwa gereza ndani ya mwaka mmoja.

Wafungwa baada ya kusikia habari hiyo, walianza kupiga kelele kwa walinzi wakisema,“Have you heard? We’re getting out of here!”. Obama anaondoka na gereza halijafungwa. This is Politics of stupid.

Katika kitabu cha Mwl.Nyerere kinachoitwa ''Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania'' ambacho kilitoka mwaka 1993, Mwl. Nyerere alinukuliwa akisema, ‘’Narudia: kumbadili Waziri, hata Waziri Mkuu, si jambo la ajabu. Anaweza kujiuzulu, anaweza kufukuzwa na nchi isitikisike. Lakini huwezi kumtikisa Rais wa nchi bila kuitikisa nchi yenyewe. Ni vizuri jambo hili likatamkwa wazi wazi na likaeleweka sawa sawa. Maana watu wengine wananong'onanong' ona kuwajibika kwa Rais kana kwamba ni jambo la mchezo mchezo tu. Kulazimika kumchukulia hatua Rais wa nchi ni mkasa na balaa kwa nchi yoyote ile’’.

Hoja ya Mwl. Nyerere ilisadifu ukweli ambao hata baadhi ya wanasiasa wa kambi ya upinzani wanafahamu ukweli huo katika mazingira ya sheria na siasa zetu.

Wakati akichangia kwenye Mjadala ya Kashfa ya Tegeta escrow account, Waziri Kivuli wa Sheria na Katiba, Tundu Lissu alinukuliwa akisema, ‘’Tunafahamu utaratibu wa kumu-impeach Rais ni mgumu, tuanze na Waziri Mkuu ambaye tunamuweza humu ndani wakati tunafikiria namna ya kumu-Impeach huyu aliye authorize malipo ya mabilioni haya, tuanze na hawa tunaowaweza, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Profesa Muhongo, Profesa Tibaijuka na majizi yote yaliyotajwa humu tuanze nayo’’.

Kuna baadhi ya watanzania wajinga wanaamini Zitto atawasaidia kumuondoa Rais Magufuli kwenye kiti cha Urais badala ya kutumia sanduku la kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Hawa ni aina ya Watanzania ambao wanaweza kuamini kama Zitto akijitokeza na kuwaambia anaweza kutembea kwa miguu kutoka Tanzania mpaka Marekani.

Siasa za kweli hubeba uhalisia na sio delution and theory.

Politics of stupid hukonga nyonyo za blind followers lakini hazina manufaa yoyote katika ukuaji wa chama.

Chama cha ACT-Wazalendo hakiwezi kukua na kuimarika kwa kutegemea politics of stupid.

Zitto unatakiwa uijenge ACT-Wazalendo katika msingi wa siasa zilizobeba uhalisia katika mazingira ya kisiasa nchini. Achana na sensational politics.
Mwisho wa Zitto kisiasa unakaribia mwisho. Eti bunge ambalo zaidi ya theluthi mbili ya wabunge wanatoka chama tawala wamu- impeach rais wao tena kwa sababu eti kakataa kutangazia dunia kuwa kuna baa la najaa Tanzania na kwamba rais kakataa kuwapa chakula cha bure kwa waliokumbwa na baa hili.

Kweli hizi ni stupid politics. Nani ambaye hakuona juzi juzi tu jinsi wakina Zito wakiongozwa na bosi wake Mbowe walivyoshindwa vibaya kumu impeach NS Tulia Akisson? Nani ambao hawakuona NS alivyo wagaragaza vibaya watu hawa na wengine akiwamo Zitto na Lissu kupigwa ban ya miezi 6 ya kuingia bungeni?

Sasa kama walishindwa hoja ya kutokuwa na imani na naibu spika na kucharazwa, ni mjinga gani wanataka aamini eti wana ubavu wa kufanya hivyo kwa rais, tena rais mwenyewe akiwa Magufuli yaani rais wa hapa kazi tu?

Zitto anafikiri watu wamesahau jinsi alivyoshughulikiwa alipokuwa CHADEMA kwa sababu hiyo hiyo ya kutaka kumu - impeach Mwenyekiti wake wa chama (Mbowe) kwa hoja ya udidkiteta na ufisadi fedha za ruzuku za chama.

Kweli Zito amefika mwisho wake kisiasa. Hakika 2020 hataweza kushinda tena ubunge huko kwao Kigoma. Naliona jimbo lake hilo likienda ki ulaini kwa Ndalichako. Stay tuned.
 
Anayefanya Sensational Politics nadhani unamjua vizuri.

Nitumbue nisitumbueeeeeeeeeeeee
Askari ng'oeni matairi yao mkauze
Fyatueniiii
Mwafaaaa
Nilisubiri na hao wanafunzi wa UDOM waandamane niwafukuze wote
Kwani Tetemeko limekula chakula

Nashangaa umemnukuu Mwalimu Nyerere, wakati hiyo katiba yenye kipengele cha kumuimpeach rais aliisaini huyohuyo Nyerere!. Nakushauri ukimaliza kusoma hicho kitabu cha Uongozi wetu na hatma ya Tanzania, ukasome tena Katiba ya JMT uone inasemaje kuhusu impeachment!.

Laiti kama kumuimpeach presidaa ingekuwa taboo, basi isingewekwa possibility ya kumuimpeach katika katiba!
 
Back
Top Bottom