Zitto hajawahi kuwa mkweli, hizi ni baadhi ya kauli zake tata

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Kama kuna jambo gumu kuamini basi ni kuamini kauli za Zitto Kabwe, fuatilia mifano ya kauli zake tata kuanzia mwaka 2014 hadi sasa;

"Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoka Chadema'' (2014)

"Serengeti boys wamewatoa Congo''...nini kilitokea???

''Vyanzo vyangu vya uhakika ni kuwa mgombea wa urahisi Zambia ''HH" kashinda uchaguzi dhidi ya Raisi Lungu''...nini kilitokea.

''Nimejiondoa kwenye kamati ya bunge ya huduma za jamii sababu wabunge wamepokea hongo''...kumbe alichukia kutopangiwa kamati ya fedha.

''Mapato ya serikali ya mwezi Novemba na Desemba 2016 yameshuka sana' ndio maana TRA hawatangazi''...sijui amejisikiaje jana!

''Nitaacha ubunge kama serikali ina akiba ya chakula tani milioni 1.5'' ni muendelezo tu wa kutaka media zimuandike kama ''mtetezi'' huku akiwatelekeza wana Kigoma aliowaahidi kuhakikisha kila mwananchi atakuwa na bima ya afya na 'skimu ya pensheni''....

Kuna mengi wengine mnaweza kuongeza.
 
Kama kuna jambo gumu kuamini basi ni kuamini kauli za Zitto Kabwe, fuatilia mifano ya kauli zake tata kuanzia mwaka 2014 hadi sasa;

"Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoka Chadema'' (2014)

"Serengeti boys wamewatoa Congo''...nini kilitokea???

''Vyanzo vyangu vya uhakika ni kuwa mgombea wa urahisi Zambia ''HH" kashinda uchaguzi dhidi ya Raisi Lungu''...nini kilitokea.

''Nimejiondoa kwenye kamati ya bunge ya huduma za jamii sababu wabunge wamepokea hongo''...kumbe alichukia kutopangiwa kamati ya fedha.

''Mapato ya serikali ya mwezi Novemba na Desemba 2016 yameshuka sana' ndio maana TRA hawatangazi''...sijui amejisikiaje jana!

''Nitaacha ubunge kama serikali ina akiba ya chakula tani milioni 1.5'' ni muendelezo tu wa kutaka media zimuandike kama ''mtetezi'' huku akiwatelekeza wana Kigoma aliowaahidi kuhakikisha kila mwananchi atakuwa na bima ya afya na 'skimu ya pensheni''....

Kuna mengi wengine mnaweza kuongeza.
naona mawe mazito ya Zitto yanawatwanga "kunako" hawa wakoloni weusi. na bado!
 
Zito Ni Zaidi ya ccm
Wewe Piga Makelele tu, ccm Haiaminiki Tena Kumbuka Hii Siyo Enzi Ile Iliyopita Uzuri wa watz wa Sasa Wanajua Mbivu na Mbichi.
 
Kama kuna jambo gumu kuamini basi ni kuamini kauli za Zitto Kabwe, fuatilia mifano ya kauli zake tata kuanzia mwaka 2014 hadi sasa;

"Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoka Chadema'' (2014)

"Serengeti boys wamewatoa Congo''...nini kilitokea???

''Vyanzo vyangu vya uhakika ni kuwa mgombea wa urahisi Zambia ''HH" kashinda uchaguzi dhidi ya Raisi Lungu''...nini kilitokea.

''Nimejiondoa kwenye kamati ya bunge ya huduma za jamii sababu wabunge wamepokea hongo''...kumbe alichukia kutopangiwa kamati ya fedha.

''Mapato ya serikali ya mwezi Novemba na Desemba 2016 yameshuka sana' ndio maana TRA hawatangazi''...sijui amejisikiaje jana!

''Nitaacha ubunge kama serikali ina akiba ya chakula tani milioni 1.5'' ni muendelezo tu wa kutaka media zimuandike kama ''mtetezi'' huku akiwatelekeza wana Kigoma aliowaahidi kuhakikisha kila mwananchi atakuwa na bima ya afya na 'skimu ya pensheni''....

Kuna mengi wengine mnaweza kuongeza.
Kamkamateni kama mlivyozoea Chama.Cha Majambazi. Safari hii amewapiga kweli kweli na kuwaacha uchi kabisa.Cha msingi ilibidi mchutame
 
Kama kuna jambo gumu kuamini basi ni kuamini kauli za Zitto Kabwe, fuatilia mifano ya kauli zake tata kuanzia mwaka 2014 hadi sasa;

"Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoka Chadema'' (2014)

"Serengeti boys wamewatoa Congo''...nini kilitokea???

''Vyanzo vyangu vya uhakika ni kuwa mgombea wa urahisi Zambia ''HH" kashinda uchaguzi dhidi ya Raisi Lungu''...nini kilitokea.

''Nimejiondoa kwenye kamati ya bunge ya huduma za jamii sababu wabunge wamepokea hongo''...kumbe alichukia kutopangiwa kamati ya fedha.

''Mapato ya serikali ya mwezi Novemba na Desemba 2016 yameshuka sana' ndio maana TRA hawatangazi''...sijui amejisikiaje jana!

''Nitaacha ubunge kama serikali ina akiba ya chakula tani milioni 1.5'' ni muendelezo tu wa kutaka media zimuandike kama ''mtetezi'' huku akiwatelekeza wana Kigoma aliowaahidi kuhakikisha kila mwananchi atakuwa na bima ya afya na 'skimu ya pensheni''....

Kuna mengi wengine mnaweza kuongeza.
Mkuuu pole pia baba jesca ni kama huyo kumbuka maneno yake kwenye kampeni
 
Kama kuna jambo gumu kuamini basi ni kuamini kauli za Zitto Kabwe, fuatilia mifano ya kauli zake tata kuanzia mwaka 2014 hadi sasa;
We ni mzogo
"Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoka Chadema'' (2014)

"Serengeti boys wamewatoa Congo''...nini kilitokea???

''Vyanzo vyangu vya uhakika ni kuwa mgombea wa urahisi Zambia ''HH" kashinda uchaguzi dhidi ya Raisi Lungu''...nini kilitokea.

''Nimejiondoa kwenye kamati ya bunge ya huduma za jamii sababu wabunge wamepokea hongo''...kumbe alichukia kutopangiwa kamati ya fedha.

''Mapato ya serikali ya mwezi Novemba na Desemba 2016 yameshuka sana' ndio maana TRA hawatangazi''...sijui amejisikiaje jana!

''Nitaacha ubunge kama serikali ina akiba ya chakula tani milioni 1.5'' ni muendelezo tu wa kutaka media zimuandike kama ''mtetezi'' huku akiwatelekeza wana Kigoma aliowaahidi kuhakikisha kila mwananchi atakuwa na bima ya afya na 'skimu ya pensheni''....

Kuna mengi wengine mnaweza kuongeza.
 
Mfaa maji hakosi kutapatapa serikali ya awamu ya tano haiwezi kuwa black mailed na viongozi aina ya Zitto kabwe. Naona stock za pesa kila zinapopungua wanakuwa very very frustrate.
Vuta kamba mheshimiwa Rais Magufuli matunda ya kazi yako yanaonekana
 
Kama kuna jambo gumu kuamini basi ni kuamini kauli za Zitto Kabwe, fuatilia mifano ya kauli zake tata kuanzia mwaka 2014 hadi sasa;

"Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoka Chadema'' (2014)

"Serengeti boys wamewatoa Congo''...nini kilitokea???

''Vyanzo vyangu vya uhakika ni kuwa mgombea wa urahisi Zambia ''HH" kashinda uchaguzi dhidi ya Raisi Lungu''...nini kilitokea.

''Nimejiondoa kwenye kamati ya bunge ya huduma za jamii sababu wabunge wamepokea hongo''...kumbe alichukia kutopangiwa kamati ya fedha.

''Mapato ya serikali ya mwezi Novemba na Desemba 2016 yameshuka sana' ndio maana TRA hawatangazi''...sijui amejisikiaje jana!

''Nitaacha ubunge kama serikali ina akiba ya chakula tani milioni 1.5'' ni muendelezo tu wa kutaka media zimuandike kama ''mtetezi'' huku akiwatelekeza wana Kigoma aliowaahidi kuhakikisha kila mwananchi atakuwa na bima ya afya na 'skimu ya pensheni''....

Kuna mengi wengine mnaweza kuongeza.
Umetumwa na nani???
 
Porojo Kila aina muonyesheni hizo tani 1.5m mmalize utata, nyinyi na zitto nani muongo zaidi?
 
Kama kuna jambo gumu kuamini basi ni kuamini kauli za Zitto Kabwe, fuatilia mifano ya kauli zake tata kuanzia mwaka 2014 hadi sasa;

"Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoka Chadema'' (2014)

"Serengeti boys wamewatoa Congo''...nini kilitokea???

''Vyanzo vyangu vya uhakika ni kuwa mgombea wa urahisi Zambia ''HH" kashinda uchaguzi dhidi ya Raisi Lungu''...nini kilitokea.

''Nimejiondoa kwenye kamati ya bunge ya huduma za jamii sababu wabunge wamepokea hongo''...kumbe alichukia kutopangiwa kamati ya fedha.

''Mapato ya serikali ya mwezi Novemba na Desemba 2016 yameshuka sana' ndio maana TRA hawatangazi''...sijui amejisikiaje jana!

''Nitaacha ubunge kama serikali ina akiba ya chakula tani milioni 1.5'' ni muendelezo tu wa kutaka media zimuandike kama ''mtetezi'' huku akiwatelekeza wana Kigoma aliowaahidi kuhakikisha kila mwananchi atakuwa na bima ya afya na 'skimu ya pensheni''....

Kuna mengi wengine mnaweza kuongeza.

Tuwekeee ahadi zote zilizosemwa na kutekelezwa na CCM tangu mwaka 1977. Your leading this nation because of the ignorance/illiteracy of its people.
 
Unajua mnatuchanganya sana....siku si nyingi zilizopita vijana wa Ufipa walikuwa wanamponda Zito na act afu wale wa Lumumba wanamwita Zito shujaa kwa kupimana ubavu na mbowe....Leo hii Lumumba ndio wanampondea Zito afu Ufipa wanamfagilia..siasa za bongo kizungumkuti!
 
Zitto amewachungulia sehemu nyeti. Nendeni mahakamani mkamfungulie kesi ya kuwatukana,uchochezi,
 
Kama kuna jambo gumu kuamini basi ni kuamini kauli za Zitto Kabwe, fuatilia mifano ya kauli zake tata kuanzia mwaka 2014 hadi sasa;

"Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoka Chadema'' (2014)

"Serengeti boys wamewatoa Congo''...nini kilitokea???

''Vyanzo vyangu vya uhakika ni kuwa mgombea wa urahisi Zambia ''HH" kashinda uchaguzi dhidi ya Raisi Lungu''...nini kilitokea.

''Nimejiondoa kwenye kamati ya bunge ya huduma za jamii sababu wabunge wamepokea hongo''...kumbe alichukia kutopangiwa kamati ya fedha.

''Mapato ya serikali ya mwezi Novemba na Desemba 2016 yameshuka sana' ndio maana TRA hawatangazi''...sijui amejisikiaje jana!

''Nitaacha ubunge kama serikali ina akiba ya chakula tani milioni 1.5'' ni muendelezo tu wa kutaka media zimuandike kama ''mtetezi'' huku akiwatelekeza wana Kigoma aliowaahidi kuhakikisha kila mwananchi atakuwa na bima ya afya na 'skimu ya pensheni''....

Kuna mengi wengine mnaweza kuongeza.
Yaani povu tu,
Onesheni hizo tani ili heshima yake ishuke.
Ndio itakuwa rungu la kummaliza zitto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom