Wadau,hiyo ni heading ya gazeti la tz daima..ila sijajua kiundani llengo la zkk kusema hayo..tunajua recently amekuwa akitoa matamshi ambayo kidogo yanashtua ikiwemo lile la kuwaona walimu kama watu wenye low perfomance wanaotafuta pa kutokea..Back to the point,mwenye undani wa taarifa hii atujuze
Source tz daima