Tafuta gazeti ujisomee mwenyewe
Una mahaba Niue na Zitto huna lolote
Magwanda na zambarau hatuna shida siku hizi.....twazijua siasa.Mleta mada subiri matusi na maneno kama msaliti
Kutoka mitaa ya pale ufipa
Na Mimi nafikiri heating bado iko chini sana , inabidi internal reaction iwe kubwa zaidi kuliko external reaction ,Magwanda na zambarau hatuna shida siku hizi.....twazijua siasa.
...shida ipo kwa mkemia....yeye kila kitu anafikiria ni catalyst ( would speed up the rate of chemical reaction )
UNYUMBU,UMANGIMEZA,HUSDA,CHUKI,nk.nk...zitto yuko juu.Najiuliza kwa nini wapinzan wa tz hawamkubali ZZK, huyu ni another level
Duh eebwanae,.. wewe ni miongoni mwa waongo kabisa.Kwa Tz zzk ni mnafiki na muongo na future yake kisiasa ilishakufa.