He! tuliona chadema ilivyoanza kushika kasi! ni kipindi kile ambacho misimamo ya zito udsm ikawafanya watu wakitafute chama kiko wapi!!!
ulichosema ni sentensi ndogo sana, Zito angekuwa mroho wa madaraka au vyeo angekuwa mbali kupitia hata CCM!!
]]"Nafasi hii sikugombea kwa hiyo kama chama kinaihitaji ni suala tu la kuniambia kwamba wanayahitaji hayo madaraka sio kukaa na kupigakura."[/[/COLOR]COLOR] NIPASHE ambayo ilifika hospitalini hapo kumjulia hali, alisema anasumbuliwa na maumivu ya tumbo na homa ambayo ilimuanza juzi usiku alipokuwa Bagamoyo kwenye kikao cha wabunge wote wa chama. Alisema kwa sasa ana nafuu, lakini anasubiri majibu ya vipimo zaidi. Mbunge mwingine wa Chadema ambaye naye anasumbuliwa na tumbo ni Said Arf wa Mpanda Mjini ambaye naye amelazwa hospitalini hapo.
Unafaa kuwa librarian. Wanafunzi wezi wa vitabu utawanasa sana :hungry:Eti wengi wamepinga ni wapi hao kina Mwanamageuko sema wewe umepinga, halafu tangu lini ukawa na mawazo hayo kwa Zitto???????? Umebadilika lini au wewe ni kupinga kila move yeyote ya CDM, umesahau juzi uliposema Zitto ni hatari leo kavuliwa cheo unasema CDM wamekosea, nitazidi kukumbusha maneno yako haya hadi utakapoyakana, usiwe ndumila kuwili.
Kitila is another silent killer and 'yes man' in chadema! he fall in the category of Slaa blind, 'academician'
Kitila failed to explain what credibility he used to appoint special seat MP's. There is a story about him that I am researching, soon after maturity i will publish it here. I have been skeptical about CDM from the beginning, and now we see the true colors.
Una neno na Dk? Mbona Zitto na Kitila hujawawekea visifa?Ukiwaweka kwenye mizani Zito na degree yake na ukampima Kitila na mkurupukaji Slaa utaona tofauti kubwa sana.
I see a lot of pretenders here and some few who have concern for Chadema.
If that is the way Chadema was founded to operate (according to their constitution) then there is no problem! It is their constitutional right isn't it?
I cannot see the point of shouting, unless you are sure something is violated. If nothing is violated, stay quiet :whoo:
So you don't know even the meaning of pretender? I didn't say anything about Chadema, do you have Chadema fever?You want all JF to be chadema follower wait......
Acha porojo...Mbowe hawezi kuwa ktk malengo yako ya 'giza' na yaliyofilisika. Kwanza wewe sio Chadema. Hakuna mpambanaji mwenye akili 'urojo' kama unavyoonekana kuwa. Hizi ni akili mithili ya akina Makamba na Chiligati...! Wewe unajua taratibu zozote za Chadema kuhusu miiko na misimamo ya kichama? Awali ya yote ungekuwa Chadema ungepima pros and cons za Zitto kuwa 'nyoka' kwa siasa na uhai wa Taifa makini, na ungeweza kupata jibu sahihi kwa yeyote anayechafua 'hali ya hewa' na ustawi, mafanikio na vision ya Chama, sio tu kumvua vyeo bali alitakiwa awekwe ktk kitengo maalumu cha 'urekebishaji tabia' (au detention kama ukitaka), ili kuondoa ukurutu ambao yawezekana wewe na CCM wenzako mnadhamiria kupandikiza ktk kuua Demokrasia na mnahisi mmemnasa Zitto kulitekeleza! Ila mmefeli kabla ya kuanza. Umma unawatizama na utawapa response hatua kwa hatua.
Wasaliti wote, hakuna muda wa kupoteza kuwafikiria...watakula matapishi yao, wataruka-ruka kwa ahadi za fedha za mafisadi na kujilisha upepo, na ila watafutika ktk historia ya ukombozi na Demokrasia ya Taifa punde.
Wimbi linalokuja hakutakuwa na nafasi kwa 'wajinga wa siasa' na wabinafsi kama Zitto anavyoonekana kuwa. Ndio maana CCM ipo ktk pango hilo hilo...! Historia itawapa majibu sahihi. Andika mahala kama kumbukumbu.
Sion kwanini unaleta suala la kupanda au kushuka chati..Hivi wakimvua hicho cheo,hata kumfukuza kabisa inakipandisha chati CHADEMA au inakiporomosha?
Hili swali ndilo wametumia kufikia uamuzi huo?
Je sisiu tunaonaje?
Kwa CHADEMA sasa kila kitu ni historia kwani watakuwa wao wanaanza. Yetu macho!!hatimaye zitto kabwe amevuliwa unaibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni, tukio hili pengine la kihistoria limetokea huko bagamoyo, katika semina ya wabunge wa chadema inayofanyika huko. mnamo majira ya mchana jana, yeye mwenyewe aliwasilisha paper na katika paper hiyo alijitetea kwa mengi yanayosemwa juu yake.
baadaye wabunge wa chadema walikutana kwa dharura na katika kikao hicho wabunge 28 walipiga kura ya kutokuwa na imani naye, wakati wabunge 8 wakibakia bila kuwa na msimamao, na mmoja akiwa amepiga kura ya kuwa na imani na zitto
nafasi yake bado iko wazi
chanzo, semina ya wabunge wa chadema inayoendelea huko bagamoyo
Huyo Waberoya ni Chadema hater kila anachosema kibovu lazima atakihusisha na CDM hata akijikwaa atasema hili jiwe liliwekwa na CDM au Mbowe shame on him.So you don't know even the meaning of pretender? I didn't say anything about Chadema, do you have Chadema fever?
Mbona watu humu ndani mmetokea kumchukia Zitto? Hamkumbuki yeye ndiye aliyefanya chadema ipendwe na vijana??
katoka wapi, kapata pesa wapi na lini , mjini kaja lini? wajanja wa mjini wamemzidi kete. bongo daresalama! habari ndiyo hiyo.Kitendo cha kukaidi maamuzi ya vikao kwa kutoshiriki kumtoroka JK Bungeni ule ulikwa ni usaliti wa hali yta juu...halafu bado ana akili ya kitoto mno......................kauli zake ni kichekesho sana...........Hongera Chadema kwa maamuzi ya busara.....................
Si kulikuwa na waandishi wa habari mkuu,mbona unauliza maswali kama sio yule VOR ninayemjua,Why is this leaking?.... why? why? why?
Una neno na Dk? Mbona Zitto na Kitila hujawawekea visifa?
However, we all know JK ni mdini, maana alianza harakati za udini tangu akiwa UDSM miaka hiyo .na hili fuatilieni
Ukiwaweka kwenye mizani Zito na degree yake na ukampima Kitila na mkurupukaji Slaa utaona tofauti kubwa sana.