Ni dalili nzuri ya kuonesha ni jinsi gani Watanznia walivyochoka, maana Ajali za uzembe kabisa zinatokea na serikali haifanyi chochote cha maana
hizo hasira zisiishie hapo tu nadhani hata kwa mafisadi ilitakiwa na wala rushwa wakuu washughulikiwe kwa njia hii