Kuna watu wamekuwa kwenye Bunge na Baraza la Mawaziri kwa miaka 20 na hawajawahi kuinua midomo yao kutetea maslahi ya Wasanii. Sasa wanajiapiza kuendeleza wasanii na wasanii wanaona wamepata wakombozi.
Sasa nduguyangu utambue kitukimoja, huku ACT hatuna umungumtu au fuata mkumbo au ndio mzee, yeye anakile akiaminicho mimi sifuati mkumbo naamua na tenda kwa uhuru wangu sifanyi et kumfurahisha ama kutekeleza msimamo wa ztt. TEAM WAZALENDO
Sasa nduguyangu utambue kitukimoja, huku ACT hatuna umungumtu au fuata mkumbo au ndio mzee, yeye anakile akiaminicho mimi sifuati mkumbo naamua na tenda kwa uhuru wangu sifanyi et kumfurahisha ama kutekeleza msimamo wa ztt. TEAM WAZALENDO