Zitto acha siasa za kishamba




Huko ni kukosa hoja zenye mashiko, wewe badala ya ku -deal na mambo aliyoyaleta zitto una -deal na mkoa anapotokea!!, hizo ni elements za ukabila.

Sasa unataka kutuaminisha Watz kwamba watu wanaotoka mikoa iliyo nyuma kimaendeleo hawana haki ya kujieleza na kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii!!!???.
 
Tabia ya ulanguzi ndio imewatesa sana wakulima wote kwa hiyo hao walanguzi wa korosho imewaangukia adhabu hiyo...biashara lazima ifuate misingi sio ulanguzi na ulaghai !
 
Tabia ya ulanguzi ndio imewatesa sana wakulima wote kwa hiyo hao walanguzi wa korosho imewaangukia adhabu hiyo...biashara lazima ifuate misingi sio ulanguzi na ulaghai !
Biashara yyte lazima kuweka na mlanguzi/mtu wa kati
We hujawahi kufanya biashara.....we endelea kuvaa suti Tai kupitia mafaili tu

Ova
 
Umaskini wao kigoma ni wa kimaamuzi yaani kuchagua wawakikishi fake kama zzk,
Zitto anajua kabisa kigoma inahitaji mambo mengi ya marndeleo, lakini yeye hayapeleki bungeni anabaki kubishana na utawala all time.
Nitajie jimbo moja tu hapa Tanzania linaloongozwa na mbunge wa ccm ambalo wananchi wake ni matajiri kuliko wale wa jimbo la Kigoma mjini analoongoza Zitto....
 
Siasa za twitani. Watu 10000 ndio wanapata ujumbe kati ya watu mil 40.
 
Povu za namna hii zinajibuje hoja zake?
 
Huyu jamaa nilishampuuza toka siku aliposaliti wenzake Chadema enzi hizo. Na mpaka leo dhambi ya usaliti inamwandama ana saliti nchi kwa sasa. Huyu jamaa bwege sanaa
Anatafuta umaarufu kwa udi na uvumba.
 
Anatafuta umaarufu kwa udi na uvumba.
Hivi mtu akikuelekeza njia anatafuta umaarufu? Zitto kawachoma moyo na kuwafumbua macho wadhulumiwa wakadai haki yao na ccm ninyi mmeona kuwa mnakwenda kuumbuka mnaanza kumpaka Zitto! Mnaogopa nini ilihali mpo kwenye raiti traki?
 
Hivi mtu akikuelekeza njia anatafuta umaarufu? Zitto kawachoma moyo na kuwafumbua macho wadhulumiwa wakadai haki yao na ccm ninyi mmeona kuwa mnakwenda kuumbuka mnaanza kumpaka Zitto! Mnaogopa nini ilihali mpo kwenye raiti traki?
Huyu sisi makamanda tulikuwa tunamuita msaliti alipofurumushwa toka chadema juzi juzi tu.
 
Hakuna mwanasiasa ninaweza MUAMINI mpaka sasaa...!! Labda nijiamini mwenyewe.. Wotee wachumia tumbo tu... Pesaa mbelee
 
hivi hata sisi tunaolalamika kwa kutolipwa mafao yetu ya kustaafu utatuita washamba?
 
Acheni siasa za kipuuzi nyie ufipa yaani furaha yenu ni kuona Rais akitukwanwa au kudhihakiwa...

Pumbavu zenu...



Wewe Theory GONORIA, unataka kusema Rais kakutuma utukane watu wote wa Kigoma?!!.
 
MLIGO ZITTO ALISHAKUWA MAARUFU TOKA ISSUE YA BUZWAGI ZAMA ZA KARAMAGI.

LABDA ,UNGESEMA KUONGEZA UMAARUFU.

BY THE WAY ,UPO BADO STELLA MARIS?? PHD ILIISHA ??

2020 KAZI NA BATA TWENDE NA BENARD MEMBE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…