Zito unatuchanganya sasa

Mlozi wa Ujiji Uwaga Ni Kigeugeu
 
Bunge halina kitu siku hizi!bora huo mhimili ufutwe rasmi katika katiba
Zitto
 
Serikali inafanya biashara siku hizi?? Pesa za wavuja jashoo zinaenda kufukiwa!
Pesa ya wavuja jasho inarudi kwa wakulima (ambao ndio wavuja jasho wa ukweli)
 
Kwani serikali inanunua kwa pesa za nani kama sio kodi zetu??
Hivi ninyi CCM huwa mnafikiria kwa kutumia nini?
Kwa kifupi ni kuwa kodi zetu zinapangiwa matumizi bungeni na si vinginevyo.....
Magufuli binafsi hana hio hela.
 
I do wonder.. Unamsikiliza Zitto au Tundu Lissu? Huwezi jua hata wanataka nn.. Kinyonga ana nafuu..!! Uzuri Mh. Rais wetu ni mtu wa kazi anajua anafanya nn, hababaiki na hao..!!
 
Wala hawahitaji kukumbushwa na Zitto nini cha kufanya.Magufuli mwenyewe kawa mbunge kwa miaka zaidi ya 20 kwahiyo kama yeye hajui sheria inamtalka afanye nini, basi ajitafakari kama anafaa kuendelea kuwa Raisi yeyw mwenyewe na hata washauri wake nao wajipime kama wanafaa.

Hii ni aibu kwa serikali iliyojaa maprofesa na madokta ikwa jambo dogo kama hili wanasubiri kukumbushwa na wapinzani na hii maana yake Zitto ni smart kuliko wao.


Msukuma hakukosea kuwaponda wasomi wa nchi hii.
 
Serikali ilishatoa tamko bungeni on how to end huo mgogoro na bunge likaipokea taarifa ya PM...huu sio muda wa blah blah ni vitendo tu
Unataka 1.5T nyingine zikose maelezo?
 
Mkuu Mubby777, upinzani wa Nchi hii ni bure kabisa. Huyu Zitto kuna wakati alikuwa anaonekana angalau, lakini tangu aanze kuongoza Chama chake kupitia smartphone amekuwa bure kabisa.

Huku kutumika kwa hawa wapinzani kunawaweka mahali pa hovyo sana, hawana agenda yoyote ya Kisiasa ya kujenga, walichobakiwa nacho ni kusubiri matukio ili wapenyeze fitina tu.

Hii mijitu ni hopeless kabisa.
 
Yeye ni muhimili uliojichimbia chini sana, hata akileta bungeni hakuna atakayekataa, hizo formalities atazifanya baadaye, kwani zike Trillions kuna mtu kamgusa?
 
Suala ni mfumo wa ununuaji
 
hapana acha kuunga mkono ujinga wa Zitto,hili ni jambo la dharura sasa huo mswaada hadi uje upite si korosho zitakuwa zimeshaooza?acheni ujinga bana.Mnataka wakulima waumie hadi lini,yeye Zitto ni kabaila ,bepari na bwanyenye ndio maana hajui shida za wakulima wa korosho ambao hutegemea korosho kwa kuendesha maisha yao,au alitaka ziuzwe kwa TZS 1000 kwa kilo?tatizo li wapi kama serikali imeamua kununua korosho moja kwa moja.Halafu hawa hawa akina Zitto hujifanya kuwatetea wakulima ,je huko ndio kuwatetea?utawala wa sheria kwenye korosho sio huko kwingine mbona hatusikii huo utawala wa sheria
 
Amachosema zito,ni kuwa,serikali inunue kwa kufiata taratibu,siyo utadhani fedha ni za kitoa mfukoni mwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…