Zipe maneno hizi picha

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
Ndugu zanguni, naomba mnielewe.
Ndugu zanguni mnachotaka kunifanyia sio fresh kabisa
Katavi mbali ndugu zanguni
Isitoshe nina mke na watoto ambao bado ni wadogo.
Kwa hiyo tuhurumiane jamani. Mimi pia binadamu jamani
Nawaomba sana ndugu zanguni msinimwagie ugali wangu.
Plesssse pleeeeee. Mie mtoto wa mkulima sina pa kwenda.



Ndugu zanguni nawahakikishieni hadi sasa mawaziri 8 kwishaney.
Habari ndio hiyo. Hapa namsubiri tuu mkuu wa kaya kuja kumaliza mambo.
Hivyo ndugu zanguni, poozeni basi.
Zitto nipatie tuu ile karatazi yenye sahihi 70
Mie nita sort out mambo madogo madogo yaliyobakia.
I promise you guys. I won't let you down.




Acha kutuingiza choo cha stendi wewe
Haitoki karatasi ya sahihi 70 hapa.
Unafikiri sisi wa kuja?
Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Pinda: Hahahahaa

 
walio husika wawajibishwe, hakuna hili wala lile. walowezi wa mali za umma kaz kwenu. mwaka huu kitaeleweka 2, na bado ndo kwanza 2naanza, pinda fichua vigogo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…