Mwamedi anatuchezea shere tu, kwanza tuache suala la b20 kwanza suala la FCC limeishia wapi, naona wamekaa kimya tu.... Babura nae hata simuelewi
B20 hatuwezi kuacha kuziulizia, kama vipi watuachie timu yetu... Yaani Yanga wakutufunga sisi
Mashabiki ndio tunaoumia