Wengi haya mambo wanayachukulia kiutani.Nilikuja kugundua kuwa mimi ni koo hizi unazozielezea miaka10 iliyopita.nilipoenda urambo kwa bibi,mana ilikuwa kila siku jioni saa12 na asubuhi saa12 nimuone simba dume mkubwa sana ikawa kila nikimwambia kakangu ananibishia ikabidi nimweleze bibi mana nilikuwa staki tena kukaa kule ndipo bibi akamwita baba mdogo akanwambia mbele yangu vile ulivyoagizwa ulifanya umeona sasa mtoto anamwona babu yake mara kwa mara ikabidi wanipeleke makaburini na kunipeleka kwenye madame ya babu huko maporini nikashangaa kukuta gorofa kuu kuu,nikafanyiwa matambiko kana yote.bibi akasema hii nyumba alijenga babu yako kipindi anafanya kazi kwenye Jeshi la wajerumani Kabla hawajaondolewa na mwingereza akaendelea bobi akasema hata Jina nalotumia ni la rafiki wa babu alikuwa mjeruman
Fanya uonane na Rostam Aziz.Wengi haya mambo wanayachukulia kiutani.
Watu wasiunganishe Simba na yanga kwenye huu uzi, ingawa huwezi kua kwenye uongozi wa simba kama hauna ukoo wa kisimba.
Hata yanga, huwezi kua kiongozi kama hauna ukoo wa kisimba kimizimu (spirits).
Huu uzi sio wa Yanga na simba. ni kuelimisha watu kuhusu maisha yalivyo kwenye jamii. Usione mwenzako kaja mjini siku mbili tatu katoboa, wewe unasota mwaka wa 20 huu. Elewa kua hauna ukoo wa kisimba na hauna urafiki na ukoo wa kisimba kimizimu.
Huo ni mfano mmoja tu.
Waulize kwenu, una mizimu ya Kisimba au marafiki za simba. No doubt.
Kwanini mnaongelea haya mambo hapa?!Kuna jambo lipo lkn sio mizimu
Kaka zangu wawili mmoja tumezaliwa baba mmoja na mwingine ni mtoto wa babangu mdogo wote ni wanajeshi ujerumani tena vyeo vya juu kabisa,kakangu alikuwa ananambia ipo siku nitakuwa mkubwa sana,hata ule ukoo wa rafiki wa babu Hao wajeruman kioo hizi hizi za simb.na nilikabiziwa kucha ya simba ya mguu wa kulia wa mbele ambayo marehemu babu alipewa na babu yake kabla babu hajahamua Tz kutoka Rwanda 1896 Kuja kuwa mwanajeshi wa kijerumaniWengi haya mambo wanayachukulia kiutani.
Kwani haujawahi isikia Lions clubNdio kwanza naisikia jamii hii
Mbona sijaona sehemu uliyochambua vema hizo koo na aina za nyie Simba?, pia ungeweka mifano michache ya koo hizo kwa hapa Tanganyika. Corazon Espinado
Sijaelewa yaani unakuwa ukoo wa simba kutokana na kuzaliwa ile miezi yenye nyota ya simba ama ni vipi?
yaani ni formula gani inatumika kuthibitisha kuwa huyu ni ukoo wa simba?
Tupe elimu.Kuna jambo lipo lkn sio mizimuu
Simba mtoto.Simbachawene
Simbaulanga
Simbayamsimbazi.
Simbaleo
Akina katembo ni koo za tembo! 😁😁😁Based on truth.
Na akina crocodile koo za mamba.Akina katembo ni koo za tembo! 😁😁😁
Umeruhusiwa lakini hamna la maana uliloandika na sidhan kama yupo alielewa unachofafanua.Binafsi nimeruhusiwa kuandika haya na wakubwa wa koo ya kisimba. Bila hivyo nisingethubutu.
Haijalishi. Sitarajii kuwepo wengi wanaoweza kunielewa.Umeruhusiwa lakini hamna la maana uliloandika na sidhan kama yupo alielewa unachofafanua.
Simba sio wapenzi wa chai.Kariakoo kuna migahawa hupika chai na kunukia vizuri. Alfajir
Ukisoma vizuri utaona kua simba wanajuana kwa harufu na mipaka yao huiweka kwa mikojo.Sijaelewa yaani unakuwa ukoo wa simba kutokana na kuzaliwa ile miezi yenye nyota ya simba ama ni vipi?
yaani ni formula gani inatumika kuthibitisha kuwa huyu ni ukoo wa simba?