-hatua ya tano na mwisho ni ni hatua ya rapid eye movement(REM) na ni kile kitendo kinachoambatana na kuchezesha misuli ya macho kwa haraka na kuduwaa kwa misuli(paralysis of muscle).
-chanzo cha kuduwaa kwa misuli(paralysis of muscle) ni kutokana na baadhi ya nerve cells zinazopatikana katika brain stem kuzuia huzalishwaji wa mono amine neuro transimitters kama vile histamine,serotonin na norepinephrine zinaso sisimua ufanyaji kazi wa motor neurone inayoamrisha ku kurelax na ku contract kwa misuli hivyo zisipozalishwa misuli huduwaa na kutulia (paralysis)
wakati huu wa REM;
-kasi ya upumuaji uongezeka
-misuli ya macho u move uku na huko
-misuli yote ya mwili huzubaa(paralysis)
-mapigo ya moyo huongezeka na damu husambazwa mwilini kote na kupeleka mpaka uume kupata damu na kusimama(kudinda) hii kumbuka ndo hatua ya mwisho ndio maana mwanamme anapoamka akiwa steji hii lazima uume wake usimame.
-mtu huanza kuota ndoto na ndoto zote huotwa katika hatua hii ya tano.