ZIJUE GHARAMA NDOGO ZA KUINSTALL CCTV CAMERA

ZIJUE GHARAMA NDOGO ZA KUINSTALL CCTV CAMERA

idtech

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2016
Posts
313
Reaction score
770
Wakuu habari, Baada ya kuandika uzi unaohusiana na aina za cctv camera pamoja na kazi zake
Zijue aina za CCTV-Camera na kazi zake
watu wengi walitaka kujua gharama za kuweka hiz camera. Sasa katika uzi huu nataka tufahamishane gharama ndogo kabsa za kuweza kuinstall cctv nyumbani , kiwandani, dukani ama ofisini kwako..
1 power supply kwa ajiri ya kupeleka umeme kwenye vifaa vya cctv hii inaanzia 80,000 na kuendelea
2 UPS kwa ajiri ya kutunza umeme endapo utakatika hii inaanzia 120,000 na kuendelea.
3 HDMI @25,000
4 VGA @10,000
5 square box @4,000
6 angle @4,000
7 BNC connector @3,000
8 Power connector @1,500
9 Hard Disk 500GB 70,000
10 Monitor 150,000
11 Extension @ 20,000
12 Multpulag @4000
13 Screw & Fishers @ 4000
14 HD camera @ 80,000
15 DVR Yenye Chanel8 Tsh360,000 (Hii hutegemeana na idadi ya camera kwa bei hii inapokea camera 8)
16 Coaxial cable 100M @100,000
NB kwa bei za vifaa ambavyo vimewekewa @ inamaana vinaweza hitajika zaidi ya kimoja. Hii hutegemeana na ukubwa wa project huska.
 
Nauza hii CCTV IP Camera(HD)

Bei: 150,000/-



02ad745860d35e9c9b5cded863aa4292.jpg

186ba1103980d51be3182214d4ee421e.jpg
 
Back
Top Bottom