Zijue faida 19 za kula Maharage

Maharage ni chakula ambacho watu wengi hukichukulia kama chakula cha hadhi ya chini kisichokuwa na manufaa kiafya. Watu wengi huchukulia vyakula kama vile nyama na samaki kuwa ni vya kitajiri wakati maharage yakichukuliwa kuwa ni chakula cha kimaskini.

Huu ni upotoshaji, kwani maharage yana faida nyingi sana mwilini ambazo watu wasiokula maharage wanazikosa.
Kwa kuwa lengo letu ni kukupa maarifa, basi karibu ufuatilie makala hii ili uweze kufahamu faida 19 za kula maharage

Asante kiongozi,
 
Lakinishuleni nilikuwa eti sipendi jamani!! hivi kwa nini wizara ya Elimu ilichagua maharage yapikwe sana, Mashuleni, Mavyuoni ya sirikali, JKT, daa sipati picha ule ulaji wa maharage jmn! mwee!!! fikiria tangia shule mpaka hukooo chuo mwee! utotoni, ujanani, utuuzima yaani uzeeni lazima niache maharage kwa muda! harage tyuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Lakinishuleni nilikuwa eti sipendi jamani!! hivi kwa nini wizara ya Elimu ilichagua maharage yapikwe sana, Mashuleni, Mavyuoni ya sirikali, JKT, daa sipati picha ule ulaji wa maharage jmn! mwee!!! fikiria tangia shule mpaka hukooo chuo mwee! utotoni, ujanani, utuuzima yaani uzeeni lazima niache maharage kwa muda! harage tyuuuuuuuuuuuuuuu!
😂😂😂
 
Back
Top Bottom