Anajidhalilisha tu, anadhani atapata tena media attention kama ilivyokuwa kipindi cha kampeni! Mshaurini akachunge N'gombe zake tu, ameitafuta mida mrefu sana ikulu naona ana gundu!
Tafadhali ndugu zangu. Nimekuwa mbali na media nyingi juu ya ziara za aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia CHADEMA na UKAWA, Mh. Edward N. Lowassa.