Tafadhali ndugu zangu. Nimekuwa mbali na media nyingi juu ya ziara za aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia CHADEMA na UKAWA, Mh. Edward N. Lowassa.
Anajidhalilisha tu, anadhani atapata tena media attention kama ilivyokuwa kipindi cha kampeni! Mshaurini akachunge N'gombe zake tu, ameitafuta mida mrefu sana ikulu naona ana gundu!
Walimshauri vibaya..wanachama bado wana makovu ya viti maalum yeye anataka kuwaendelezea usanii wake..Siku hizi hapati media attention kwa sababu hana influence yoyote..habari ya mjini ni majipu tu sio siasa za kinafiki
Tafadhali ndugu zangu. Nimekuwa mbali na media nyingi juu ya ziara za aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia CHADEMA na UKAWA, Mh. Edward N. Lowassa.
Tafadhali ndugu zangu. Nimekuwa mbali na media nyingi juu ya ziara za aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia CHADEMA na UKAWA, Mh. Edward N. Lowassa.
Si zuri kumsema vbya m2 ambae hakufaham na wala ww humfaham na kumtuhum kwa hear saying za wa2 mkutano wa masaa 2 unahrb kip ktk hrkt za devt kuna mambo ni irrelevant w2 mnawawekea maneno midomoni ukikaa hpa isemee nafsi yko na si kuwasemea wtz wte as if ww ni msemaji wao