Tiba JF-Expert Member Jul 15, 2008 4,604 3,163 Jun 23, 2014 Thread starter #81 Tyta said: watu wanambwela tu....ikifika saa 11.59 nakupa jibu sahihi pasi na shaka..no overtime...the buzzer beater Click to expand... Ehe wewe ni Mzee wa "last minutes" sio? Poa. Tiba
Tyta said: watu wanambwela tu....ikifika saa 11.59 nakupa jibu sahihi pasi na shaka..no overtime...the buzzer beater Click to expand... Ehe wewe ni Mzee wa "last minutes" sio? Poa. Tiba
Tiba JF-Expert Member Jul 15, 2008 4,604 3,163 Jun 23, 2014 Thread starter #82 Abdulhalim said: Khartoum kuna Nile River, ok never mind. Click to expand... Ni kweli Khartoum zinakutana white Nile na Blue Nile na kutengeneza Nile moja inayoelekea Misri lakini haina upana wa namna hiyo. Tiba
Abdulhalim said: Khartoum kuna Nile River, ok never mind. Click to expand... Ni kweli Khartoum zinakutana white Nile na Blue Nile na kutengeneza Nile moja inayoelekea Misri lakini haina upana wa namna hiyo. Tiba
Tiba JF-Expert Member Jul 15, 2008 4,604 3,163 Jun 23, 2014 Thread starter #83 Mwanamalundi said: Capetown Click to expand... Mkuu umejaribu lakini umekosa. Tiba
Tiba JF-Expert Member Jul 15, 2008 4,604 3,163 Jun 23, 2014 Thread starter #84 mangi jr said: Imepigwa egpty. Cairo. Click to expand... Mkuu umejitahidi lakini haukupata. Kuna mwingine alitoa jibu kama lako pia. Tiba
mangi jr said: Imepigwa egpty. Cairo. Click to expand... Mkuu umejitahidi lakini haukupata. Kuna mwingine alitoa jibu kama lako pia. Tiba
Jodoki Kalimilo JF-Expert Member Feb 12, 2012 12,013 10,174 Jun 23, 2014 #85 Kuna maswali mengine sio ya kujibu wala kujaribu, mie sijui ila nasubiri kutoa pongezi kwa mshindi
K kadafi Member Jan 14, 2014 49 14 Jun 23, 2014 #88 Morocco Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
A agosti 8 JF-Expert Member Jan 31, 2013 3,575 2,579 Jun 23, 2014 #90 hapo ni DAKAR SENEGAL picha imepigwa kama unatokea kwenye kisiwa cha Goree. Nasubiri hela yangu. cc.Tiba
hapo ni DAKAR SENEGAL picha imepigwa kama unatokea kwenye kisiwa cha Goree. Nasubiri hela yangu. cc.Tiba
A agosti 8 JF-Expert Member Jan 31, 2013 3,575 2,579 Jun 23, 2014 #91 Mkuu nimekujibu tayari; ni DAKAR SENEGAL Tiba said: Mkuu umejitahidi lakini haukupata. Kuna mwingine alitoa jibu kama lako pia. Tiba Click to expand...
Mkuu nimekujibu tayari; ni DAKAR SENEGAL Tiba said: Mkuu umejitahidi lakini haukupata. Kuna mwingine alitoa jibu kama lako pia. Tiba Click to expand...
Tiba JF-Expert Member Jul 15, 2008 4,604 3,163 Jun 23, 2014 Thread starter #92 agosti 8 said: Mkuu nimekujibu tayari; ni DAKAR SENEGAL Click to expand... Umekosa
A agosti 8 JF-Expert Member Jan 31, 2013 3,575 2,579 Jun 23, 2014 #93 Tiba said: Umekosa Click to expand...
Kisusi Mohammed JF-Expert Member Aug 10, 2009 563 468 Jun 23, 2014 #94 Hii ni Dar es salaam, ufukwe wa upande wa Masaki
Gemmy JF-Expert Member Apr 6, 2014 1,208 814 Jun 23, 2014 #96 Mentor said: Ni sehemu fulani kuna Sea halafu desert flani...bado nawaza! Deadline lini Tiba!?? Click to expand... Mmmh! Mentor unanichekesha sana mkuu kila sababu unayoitoa unasikilizwa lakini bado
Mentor said: Ni sehemu fulani kuna Sea halafu desert flani...bado nawaza! Deadline lini Tiba!?? Click to expand... Mmmh! Mentor unanichekesha sana mkuu kila sababu unayoitoa unasikilizwa lakini bado
strong ruler JF-Expert Member Nov 2, 2013 4,921 3,300 Jun 23, 2014 #100 Hapo ni Port said Egypt ama Oran Algeria kati ya hizo sehemu mbili!