K Khalid91 Member Feb 2, 2020 56 41 Nov 16, 2020 Thread starter #3 Joselela said: Ni mgeni ke/me Click to expand... Ke
K Khalid91 Member Feb 2, 2020 56 41 Nov 16, 2020 Thread starter #5 Abra One said: Na wewe ni Ke au Me? Click to expand... Me
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Nov 17, 2020 #6 Nasubiri Michango ya WADAU iongezeke
Rowin JF-Expert Member Oct 1, 2011 2,086 7,109 Nov 17, 2020 #8 Jersey ya timu ya taifa.... Akishidwa hata Ritter Sport Chocolate itatosha....
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Apr 13, 2017 44,588 188,807 Nov 17, 2020 #9 Mkuu hujaweka kitu kimoja muhimu sana. Una ukaribu gani nae maana zawadi inategemea inatoka kwa nani kwenda kwa nani?
Mkuu hujaweka kitu kimoja muhimu sana. Una ukaribu gani nae maana zawadi inategemea inatoka kwa nani kwenda kwa nani?
Zabron Hamis JF-Expert Member Dec 19, 2016 6,515 10,426 Nov 17, 2020 #10 Taja kitu chochote ambacho una uhakika ni cha bei ya kawaida lakini kinaweza kubaki kama kumbukumbu. Kisiwe kitu cha kula lakini . Wenzetu wanathamini vitu vya kawaida tofauti na haya makupe ya kwetu yanayokula mpaka nauli. Niamini mimi, usipokuwa mwenye tamaa utashangaa atakavyokuja navyo. Lakini zawadi yako itakonga moyo wake ukibahatika kutaja kitu anachokipenda pia.
Taja kitu chochote ambacho una uhakika ni cha bei ya kawaida lakini kinaweza kubaki kama kumbukumbu. Kisiwe kitu cha kula lakini . Wenzetu wanathamini vitu vya kawaida tofauti na haya makupe ya kwetu yanayokula mpaka nauli. Niamini mimi, usipokuwa mwenye tamaa utashangaa atakavyokuja navyo. Lakini zawadi yako itakonga moyo wake ukibahatika kutaja kitu anachokipenda pia.
K Khalid91 Member Feb 2, 2020 56 41 Nov 17, 2020 Thread starter #11 Minah 92 said: Perfume, Shoes, Saa Click to expand... Thanks so much
K Khalid91 Member Feb 2, 2020 56 41 Nov 17, 2020 Thread starter #12 Kichwa Kichafu said: Mkuu hujaweka kitu kimoja muhimu sana. Una ukaribu gani nae maana zawaidi inategemea inatoka kwa nani kwenda kwa nani? Click to expand... Ni my friend tu ukaribu naweza kusema ni wa kati na kati sio close sana au far sana
Kichwa Kichafu said: Mkuu hujaweka kitu kimoja muhimu sana. Una ukaribu gani nae maana zawaidi inategemea inatoka kwa nani kwenda kwa nani? Click to expand... Ni my friend tu ukaribu naweza kusema ni wa kati na kati sio close sana au far sana
K Khalid91 Member Feb 2, 2020 56 41 Nov 17, 2020 Thread starter #14 Jimena said: Perfume Click to expand... Thank youuu