Zanzibari chonde chonde

haya mtapewa talaka mnoitaka, mupumue vizuri.
 
na wewe uache andika sentensi za kipuuzi, dora ndo nini.
 
Wanaowashawishi Wazanzibar waichukie Bara na Viongozi mafisadi wanaojaribu kuvuruga mambo ili yao yasizungumzwe
 
sasa hayo si ndo matatizo ya kukaa pamoja mezani na kuyarekebisha, mbona mambo madogo tu.
 
ni mawazo ya mwarimu.
nani kakwambia (ukiondoa waislamu), wacha udini bwashee, bara kambarage anaheshimika na kila dini kila mtu, me muislamu yakhe
 
Mi nataka hata Leo muungano uvunjike hawa ma mwinyi waende zao!! Tuinjenge Tanganyika vzr
 
Ebu acha upumbavu wako msijitenge msijitenge ndo nini ? kWANI NYERERE kAMA NANI ? Tunataka zanzibar yenye mamlaka kamili, tutakutana EAC bado haitoshi ?? Kwani tukijitenga hivi siviwa tutaviondoa ? Vitababkia hapa hapa wala havitaenda popote kama udugu utakuwepo kama vile watanganika na wakenya, burundi, msumbiji, na kwengine, ujirani unatoshaa.
 
Uko sahihi sana,lazima tuulinde na kuutetea muungano wetu,wanaotaka kutuvuruga sharti tuwapige
 
------- mwenyewe,
chapeni lapa hatutaki mbivu zenu
 
wacha udini bwashee, bara kambarage anaheshimika na kila dini kila mtu, me muislamu yakhe
Ndio maana tunawaambia kuwa mnaubudu nyerere! ni mtu gani duniani anayeheshimika na kila mtu na kila dini?!

Mimi ni Mtanganyika na nyerere hana sharafu yoyote kwangu mimi.

kweli kuna haja ya kuungana na watu wanaongozwa na mfu kaburini (si watanganyika wote)?
 
Wazanzibar wana haki ya kuamua hatma yao bila kuingiliwa wala kutishiwa na mtu awaye yote. Umefanya vyema kunukuu mawazo ya mmoja wa waanzilishi wa muungano Ndugu Julius Kambarage Nyerere. Unaonaje ukitoa nukuu kama hizo zinazoakisi mawazo ya muanzilishi mwenza wa muungano wa upande wa Zanzibar yaani Ndugu Abeid Aman Karume.
 
unayosema ni kweli.....ila swali la kujiuliza ni kwa nini zanzibar ilijiunga na ndani ya muungano huo kwa hiari na kwa nderemo ieweje leo....hawataki tena na wamechoka....ukipata jawabu kwa nini basi uta support movement yao hata kama ni mtanganyika....
lakini moja ya mambo yanayo udhi ni dharau
pili ....wanapo engea kuwa kuna mambo ambayo yanadhoofisha uchumi wao..basi tanganyika hawataki kuwasikiliza tena..ni kama vile umeshaingia ndani ya kitanzi basi utakoma...mpaka ufe
kuna mfano wa suala la gasi na petroli....haya masuala sio ya kugombana lakini upande wa tanganyika hauna nia nzuri na unaonesha umimi. zaidi na ubabe.....mathalan mafuta ya zanzibar tanganyika wangekubali yaliyopo zanzibar yachimbwe na zanzibar kuendesha uchumi wake.....na viyu kama hivo

so sio suala la utengano bali ...dharau...
hivo kama kuzama na vizame ila utu,uhuru na heshima ya nchi na watu wake ni bora hata kama nchi itakua masikini wa kutupwa.....
 
nenda mwana kwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…