Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Tatizo ni moja tu ccm wanashindwa kujenga mji hela nyingi za mapato zinapigwa juu kwa juu.
ukweli usemwe tu kama kweli kuna jehhanam basi watakaoenda kuchomwa hawa jamaa wa katka maidara watu wanaiba askwambie mtu unashughudia watumishi wanapiga cha juu live
 
Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?

Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
haelewi kuwa stone town hairuhusiwi kubadili chochote kile
 
Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.

Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani, mainjinia sijui wameajiriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 or ndio mji wa kitalii labda.

Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehemu sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.

Zanzibar mnatakiwa mbadilike mainjinia sijui mnafanya kazi gani mnashindwa kulipendezesha jiji yaani lami kama zimemwagwa zege hovyo hovyo miji ni michafu hatari. Kuwa jiji la kitalii haimaanishi muwe hivyo pendezesheni mji wenu wekeni pawe pasafi kama moshi, tengenezeni lami za kiaasa kama dar pawe pazuri

Plan ya miji iwe kila sehem na migahawa miuzuri na pasafi,
Nipo huku, asemayo kweli! Wameridhika wenyewe!
 
Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?

Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
Mahotel nakubali aisee, ogops sana!
 
Mporipori akifika Zanzibar, akaona hizi nyumba, anakwambia kumechoka

1712440058903.png
 
Back
Top Bottom