Zanzibar: Kumbukumbu ya kifo cha mwalimu Nyerere, watumishi 59,967 kupandishiwa mishahara na madaraja mwezi ujao

tambueni kupanda madaraja ni jambo linalowahusu baadhi ya watumishi kwa wakati fulani na halitawagusa watumishi wote.tunachohitaji ni ile nyongeza iwagusao wote pamoja na hao wanaopanda madaraja ! watumishi wapo zaidi ya laki tano yeye anazungumzia watumishi elfu hamsini na tisa.!!!
 
ile karatasi ya hotuba i
Keshampiga dongo Seif.

Ahahaha.

Eti wale waliokuwa wanataka kuapishwa wameshaapishwa?

Wanatuwezaaa...!

Ahahaha
ILE KARATASI YA HOTUBA IKIPEPERUSHWA NA UPEPO TU! TUTAZIBA MASIKIO.ILA AKIENDELEA NA HIZI HOTUBA ZA KUANDIKIWA MAMBO YATAKUWA SAFI.ANGEKUWA HATUMII KARATASI JASHO LINGEKUWA LIMEMTOKA BALAA
 
Mlivyo watu wa ajabu...AMETAAMKA kuwatimizia KE3LELE ZENU...
MLIVYO NA LAANA mnaanza kuropoka pumba...SASA MSEME MNATAKA NINI???
WOTE MLIOCOMMENT HAPO JUU nyie sio watanzania....wivu unawasumbua mno
MNATAKA KUSIKIA MABAYA TU muda wote
 
So Dkt. Abbas jana alikua akitoa Utangulizi ili huyu aje atoe habari kamili,
Means hili tamko la leo lingekuja kabla ya Dkt Abbas jana kungekua na ukakasi kidogo
 
Mlivyo watu wa ajabu...AMETAAMKA kuwatimizia KE3LELE ZENU...
MLIVYO NA LAANA mnaanza kuropoka pumba...SASA MSEME MNATAKA NINI???
WOTE MLIOCOMMENT HAPO JUU nyie sio watanzania....wivu unawasumbua mno
MNATAKA KUSIKIA MABAYA TU muda wote



01/05/2017 alisema hivyo hivyo
 
Huyu jamaa wimbi kweli! Yaani anaona kuhamia Dodoma ndiyo jambo la maana katika yote ambayo Nyerere alipanga? Yaani kuhamia Dodoma ndiyo anaona anamuenzi 'Baba wa Taifa'? Rais tunaye.

Naamini, Nyerere angekuwa hai leo, angekuwa wa kwanza kupinga wazo la kuhamia Dodoma. Kwa taifa ambalo bado watoto wa shule wanasomea chini ya miembe; ambalo hata panadol inaweza kukosekana kwenye zahanati za serikali; ambalo bado watu wanakunywa maji yanayonywewa na wanyama n.k., kutumia mabilioni ya shilingi ati kwa kuhamia Dodoma, ni ujinga wa kiwango kisicho na upinzani.

Hilo la kuhamia Dodoma siyo kipaumbele cha wananchi anaowaita wanyonge kila siku. Kama anamuenzi kweli Nyerere asimuenzi selectively, amuenzi kwa mambo yote ambayo Nyerere aliyapigania. Kama Azimio la Arusha, ambalo yeye kama mwanaCCM alishiriki kulifutilia mbali. Lakini ati kuhamia Dodoma ndiyo anaona ni jambo la msingi. Hakika nakubaliana na watu wanaosema bila Katiba mpya, Tanzania isahau kupata maendeleo ya watu wake. Yaani mkurupuko wa mtu mmoja tu, unaligharimu taifa!
 
Neno mwezi ujao tumelizoea. Taarifa ya Abasi ilijichanganya tu. Leo anataka kupooza machungu. Mkuchika tumemsikia hadi suala la kufoji umri liishe. Leo anasema mwezi ujao watarekebisha mishahara. Ngonjera hatutaki
 
Nani nyie mnayotaka hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…