WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
Halafu ikawaje hiyo thread ya INVISIBLE, kwa nini usiifate huko huko?nilisoma thread ya INVSIBLE ...kabla sijasoma thread ya invisible
Halafu ikawaje hiyo thread ya INVISIBLE, kwa nini usiifate huko huko?
Kweli usemavyo, Lakini huoni ingekuwa rahisi zaidi kama ungewapigia zantel wenyewe?nimeona kama thread imeshapoa hivyo nikahisi wadau wengi wasingeisoma
Kweli hii package ni bomba sana watu sasa tunafaidi.
Weka tu Buku 10 kwenye ac yako ya zantel CDMA halafu piga *775#
kwenye simu yako ya zantel
hapo chagua
mteja wa High life week.
utaendelea kufuata maelekezo
Ukikwama tuulizane humuhumu
We mbona unachanganya habari hapa? ina maana buku 10 kwa High life ni wiki moja? na siyo unapewa 2gb kwa mwezi?
Ebu fafanua maelezo yako mkuu maana naona umetuchanganya hapa
Weka tu Buku 10 kwenye ac yako ya zantel CDMA halafu piga *775#
Kweli hapo kuna kuchagua
Ama nunua 2Gb kwa alfu 10 halafu hakikisha unazimaliza ndani ya wiki:glasses-nerdy:! inaitwa HighLife Week
Au nunua hizohizo 2Gb kwa Alfu 40 na uzitumie ndani ya mwezi. inaitwa Highlife Month.
Hapo uchaguzi ni wako!
Mi naona bora wiki na maranyingi nazinunua hizo mara mbili ndani ya wiki moja! inaruhusiwa. Yaani namaliza hizo 2Gb kwa siku 2 naweka buku 10 nyingine napewa tena! Mambo Poooowa:smile-big:
Hata mimi iligoma ilibidi niende pale Zantel napo nilipowaambia wakaanza kunibishia nikajiribu tena ikashindikana,ikabidi mdada wa CC aweke kwa kutumia simu yake ndio ikakubali lakini ajabu kila wakati inaonyesha salio nis sh 3000 ingawa niliweka 10000 ila bado natumia toka nilivyoweka ,na ile ya kusema 1GB ni sh 10000 haipo.nilisoma thread ya INVSIBLE juu ya zantel kupunguza bei za net kuwa sasa wana packge ya tsh 10,000 kwa 2GB. Mwanzoni walikuwa na packge ya 200MB kwa shs 10,000 ambayo ndo nilikuwa najinafasi nayo ,lakini majzi nilijaribu kuipata na kufuata utaratibu wao wa kuzi acces ikagoma ila ilikuwa kabla sijasoma thread ya invisible .sasa napenda wadau wanijuze ina maana unaponunua vocha za elfu kumi na kuzitumbukiza unakuwa tayari umepata hizo 2GB AU unafuata process yao ya ku send sms 0775XXXXX PLAN STAR kwenda 0776300300.
link ya thread aliyoanzisha invizibo ipo wapi? iweke hapanilisoma thread ya INVSIBLE juu ya zantel kupunguza bei za net kuwa sasa wana packge ya tsh 10,000 kwa 2GB. Mwanzoni walikuwa na packge ya 200MB kwa shs 10,000 ambayo ndo nilikuwa najinafasi nayo ,lakini majzi nilijaribu kuipata na kufuata utaratibu wao wa kuzi acces ikagoma ila ilikuwa kabla sijasoma thread ya invisible .sasa napenda wadau wanijuze ina maana unaponunua vocha za elfu kumi na kuzitumbukiza unakuwa tayari umepata hizo 2GB AU unafuata process yao ya ku send sms 0775XXXXX PLAN STAR kwenda 0776300300.
sure saidHalafu ikawaje hiyo thread ya INVISIBLE, kwa nini usiifate huko huko?
Unajua kila siku ukitegemea invisible kukuwekea kila kitu hapa utakuja kukwama siku moja maana huyo invisible ni ROBOT na siku moja anaweza akawa hajawekwa chaji ukabaki unabung'aa hapa bila mahala pa kwenda.nimeona kama thread imeshapoa hivyo nikahisi wadau wengi wasingeisoma
Nao hawajui customer care za bongo zinaendana angalau kwa kujua kimombo lakini sio kazi,mi nilitarajia CC wa kwenye sehemu za technical thing qwangekaa watu wenye angalau uelewa wa mambo ya kiufundi ambayo ndio msingi mkuu wa kazi,ni ajabu kwa mfano CC wa benki asijue mambo ya benki pale mteja anapotaka usaidizi,lakini kwenye makampuni ya simu imekuwa kawaida watu wa CC hawajui hicho zaidi ya "whatzup nyingi''Piga customer care
Kama sina laini ya Zantel na nina modem ya zantel tu nitafanyaje,natumia laini ya ZainKu recharge kwa ajili ya data tumia *775# na sio recharge ya voice ya 104. (unaingiza ktk simu yako ya zantel, kwa kufuata directions kutoka kwenye message utakayopata baada ya kubonyeza *775#)
Ukimaliza kurecharge piga tena *775# na chagua plan unayotaka. Ipo highlife ya 2Gb kwa wiki kwa Tshs 10,000, na pia ipo plan ya mwezi ya 2GB kwa mwezi, chaguo ni lako.
Mimi natumia 2gb kwa wiki, safi sana!
Kweli kabisa ni Elfu 35 2GB Highlife Month nilikosea. Kujikosoa imo!Mara ya mwisho nimenunua kwa TZS 35,000 2GB High Life monthly wamepandisha mpaka TZS 40,000 au??