HahahaaaaaKaenda na bodàboda yake?
Kaenda na bodàboda yake?
Kweli wewe ni mjinga, jamaa ameuliza zana ameenda na bodaboda lake !! Unakuja kumjibu bora simba wamepewa bodaboda Yanga wamepewa nini 😁Bora simba wamepewa zawadi za bodaboda. Wachezaji wa yanga wamepewa zawadi gani?
boda boda moja si Chini ya mil 2.
Wewe unaona ndogo?
Mkuu afadhali umeliona hiloKweli ww
Kweli wewe ni mjinga, jamaa ameuliza zana ameenda na bodaboda lake !! Unakuja kumjibu bora simba wamepewa bodaboda Yanga wamepewa nini![]()
Kweli ww
Kweli wewe ni mjinga, jamaa ameuliza zana ameenda na bodaboda lake !! Unakuja kumjibu bora simba wamepewa bodaboda Yanga wamepewa nini![]()
Yanga wapewe zawadi kwani wamechukua ubingwa..subiri msimu ujao watapewa coupons za mwaka kufanya shopping GSM mallsBora simba wamepewa zawadi za bodaboda. Wachezaji wa yanga wamepewa zawadi gani?
boda boda moja si Chini ya mil 2.
Wewe unaona ndogo?
Rage hajawahi kukosea mkuuKweli ww
Kweli wewe ni mjinga, jamaa ameuliza zana ameenda na bodaboda lake !! Unakuja kumjibu bora simba wamepewa bodaboda Yanga wamepewa nini 😁
Eeeh mkuu...kapakia na matikiti aliyapitia pale bigwa morogoroKaenda na bodàboda yake?
Rage hajawahi kukosea mkuu