Upinzani ni wazembe period. Walitaka yote kwa pupa they know how our political system works lakini wana act kama immatureTatizo siyo upinzani! Tatizo ni chama kilicho shika hatamu kutumia dola vibaya!
How mkuu wakati mnatumia dola! Walitaka nini kwa pupa? Wao wamesema bila katiba mpya hakuna kitachofanikiwa na wakaanza kuidai. Kitu gani walitaka kwa pupa?Upinzani ni wazembe period. Walitaka yote kwa pupa they know how our political system works lakini wana act kama immature
Okay ngoja CCM ajichukulie points zake 3 za mezani. Sababu Mbowe atatoka baada ya muda mfupi CDM watasheherekea kiongozi wao kutoka na CCM watajimwambafy kua kuna uhuru na democracy huoni kiongozi wao kakutwa hana hatia.Wala HAWAJAKURUPUKA hasa ukitilia maanani kwamba mfumo wa vyama vingi nchini una miaka 30 sasa na bado katiba ni chama kimoja iliyoandikwa na maccm. Ulitaka wasubiri miaka mingine 30? Wakati wa kuipata Katiba mpya ni SASA.
Na wako tayari kukubali matokeo? Na tume na mahakama watakubali wasiziingilie?Tatizo siyo upinzani! Tatizo ni chama kilicho shika hatamu kutumia dola vibaya!
Ndugu yangu CCM is too powerful kuingilia kwa namna CDM walivyokuja ni upumbavu wa hali ya juu.How mkuu wakati mnatumia dola! Walitaka nini kwa pupa? Wao wamesema bila katiba mpya hakuna kitachofanikiwa na wakaanza kuidai. Kitu gani walitaka kwa pupa?
Mbona Zanzibar cuf wameshinda Mara kibao na amkuwatangaza. Mvivu Ni wewe usiyeweza kufikiri nini tatizoNaam km kichwa habar kinavyojielewa sote tumeshuhudia zambia mpinzan akichukua nchi bila katiba mpya
Nawashaur chadema waache uvivu wa kufikir kwa kudhan kuwa katiba mpya ndio itawafanya waingie ikulu km bibi harus anavyoingia chumban kwa bwana ake.
Angalien mnakosea wap mrekebishe nasio kutafuta visingizio, tafuten agenda znazowagusa wananchi na sio kufanya siasa za matukio.
Kuwen na usiku mwema makamanda njaa na waoga wa kuthubutu na kujikosoa
Una hasira nao!!!! Mi naona unawaonea mkuu. Upowerful wa ccm ni dola tu! Bila dola ccm is very vulnerable!!!!Ndugu yangu CCM is too powerful kuingilia kwa namna CDM walivyokuja ni upumbavu wa hali ya juu.
Okay ngoja CCM ajichukulie points zake 3 za mezani. Sababu Mbowe atatoka baada ya muda mfupi CDM watasheherekea kiongozi wao kutoka na CCM watajimwambafy kua kuna uhuru na democracy huoni kiongozi wao kakutwa hana hatia.
Wait and see Kaka😳😳😳😳😳 you don’t know what you’re talking about.
We nguruwe Umekariri, kuwa kila nchi inayo fanya uchaguzi inahitaji katiba mpya.Naam km kichwa habar kinavyojielewa sote tumeshuhudia zambia mpinzan akichukua nchi bila katiba mpya
Nawashaur chadema waache uvivu wa kufikir kwa kudhan kuwa katiba mpya ndio itawafanya waingie ikulu km bibi harus anavyoingia chumban kwa bwana ake.
Angalien mnakosea wap mrekebishe nasio kutafuta visingizio, tafuten agenda znazowagusa wananchi na sio kufanya siasa za matukio.
Kuwen na usiku mwema makamanda njaa na waoga wa kuthubutu na kujikosoa
Sina hasira nao ila think tank yao inanifadhaisha so immature utadhani hawaijui CCMUna hasira nao!!!! Mi naona unawaonea mkuu. Upowerful wa ccm ni dola tu! Bila dola ccm is very vulnerable!!!!
Wait and see Kaka
Wengi ni wanaopiga kelele ni hawa wa shule za kukariri. Hajui historia ya Zambia na chaguzi zake. Zambia wao tangu ule uchaguzi wa mwanzo uliomwondoa Kaunda walikuliwa wanajua umuhimu wa uchaguzi huru. Ilitokea bahati nzuri sana nchi yao ina viongozi wenye akili na vision na wanajua uchaguzi huru ni moja ya nguzo za kuifanya nchi imara. Sasa hawa wapumbavu kama aliyeanzisha thraed wanaangalia futi mbili mbele na hawajui kilichopo mita tatu.How old are you?
Watu wanadai katiba mpya kutokana na mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya sasa lakini huenda katiba ya Zambia haina mapungufu makubwa ndio maana wapinzani wa huko hawapigi kelele ya katiba mpya.Naam km kichwa habar kinavyojielewa sote tumeshuhudia zambia mpinzan akichukua nchi bila katiba mpya
Nawashaur chadema waache uvivu wa kufikir kwa kudhan kuwa katiba mpya ndio itawafanya waingie ikulu km bibi harus anavyoingia chumban kwa bwana ake.
Angalien mnakosea wap mrekebishe nasio kutafuta visingizio, tafuten agenda znazowagusa wananchi na sio kufanya siasa za matukio.
Kuwen na usiku mwema makamanda njaa na waoga wa kuthubutu na kujikosoa
Kwahiyo unataka wote wafe kama chacha wangwe??Bila katiba mpya walaTume huru wakiwa serious wanaing'oa CCM saa 2 asubuhi.....tatizo wanaporwa ushindi waziwazi na hawachukui hatua,upinzani unataka vichwa vibishi dizaini ya Chacha Wangwe (R.I.P) sio hawa wa kukimbia nchi.
Tatizo ni wananchi akiwemo mleta mada. Akili fupi kama kimini cha kahaba anayejiuzaTatizo siyo upinzani! Tatizo ni chama kilicho shika hatamu kutumia dola vibaya!
Dogo endelea kubet, hakuna inalojua kwenye siasa za bongoSikatai but walikurupuka kuanza sasa hivi. Hivi unajua Hitler alikuaje na nguvu ni kwa sababu alianza kufanya vitu vidogo ambavyo havikuwatisha mataifa mengine by the time amekua na nguvu it was too late kumdhibiti mpaka kupelekea WW2. Chadema whether they like it or not kuanza katiba movement muda huu ilikua stupid movement, wangejijenga kwanza hasa baada ya uchaguzi kuisha then after a year or two wangekua washaseti strategies za kuanzia katiba movement. Look at them now wanapush hashtag ya #MboweSioGaidi na wanakosa mass support sababu ya kutojipanga
Ha ha ha! Mkuu punguza hasira. Kwani unamjua mleta mada?Tatizo ni wananchi akiwemo mleta mada. Akili fupi kama kimini cha kahaba anayejiuza