wilbard athanass
Member
- Feb 28, 2014
- 69
- 83
Wazee wenu lin walipambana kkUtawasikia wakijishaua eti hao wazungu na pesa zao za masharti waende zao huko! Tutaelekea kwa "marafiki zetu" China ambao hawana masharti! Unajiuliza hawa watu wana ugonjwa wa akili au wana matatizo gani hawa? China ni ya kuogopwa kuliko ukoloni mkongwe wazee wetu waliomwaga damu kupigania uhuru! In fact approach ya China haina tofauti na enzi za utumwa if not worse!