Wanayanga wenzangu huyu mzee hana jipya tukifungwa ama kudroo mechi dhidi ya polisi atasema wachezaji walikuwa na uchovu na hlo tulitegemee uongozi jamani pingeni kauli za huyu kocha timu imecheza mechi nyingi sana lkn kila siku visingizio haviishi walai kwa mbinu zile za kupaki basi sahau kupata matokeo