Zaha kanifurahisha sana

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,110
Reaction score
1,952
Wilfred Zaha amekuwa mchezaji wa kwanza kutopiga goti katika kampeni ya EPL kupinga ubaguzi wa rangi Zaha amesema haoni sababu ya kupiga goti wakati Ubaguzi unaendelea kila siku.

[emoji995] Amesema yeye hawezi piga Goti kamwe ila Ameshauri nguvu kubwa ielekezwe mashuleni na kwenye Jamii ili kutengeneza vizazi vijavyo visivyo na ubaguzi Zaha amefanya haya katika pambano la Crystal Palace [emoji739] westbrom linalo endelea .!!



Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…