Ni kweli MD25, Kusema kweli kimsingi hakuhitaji nidhamu, maana ule ukweli wenyewe tayari ni nidhamu tosha, MAFILI acha jamaa atoe ajuacho coz we are here to talk openly, though protocal must be kept into account, Siwezi kushangaa kwa makamba kuwa ktk hali kama hiyo, MAGAMBA goes in ratio with the beat of a drum, MAKAMBA is no longer.......