Ijumaa iliopita nilimwona akitembea kwa miguu akitokea upande wa Wizara ya Ardhi, Utumishi na Mipango. Mimi nilikuwa naenda upande wa Ferry naye akawa anavuka ile junction ya Luthuli na Kivukoni (Azania Front?). She looked quite fine and healthy. Ninaamini hajafulia. Kutembea kwa miguu naamini was just a matter of choice on her part kwa ajili ya kukeep fit.