kwi kwi kwi .... ulisikiliza clip iliyoitoa kwa mara ya mwisho kabla ya kwenda mafichoni? Labda nikwambie kuwa hakuna mwenye njaa ya mabadiliko ya kisiasa Tanzania kama M.M. Mwanakijiji. Hivyo, haya yanayoendelea CHADEMA kwake ni msiba mkubwa sana.
Pole sana M.M.M, come out man, we need you. Sote tunaumia na kuchanganyikiwa lakini hali ndo hiyo. Weakness kubwa ya vyama vya upinzani ni kwamba wanachama wengi (wenye nguvu za kisiasa) ni wale walioondoka vyama vingine kwasababu walikosa vyeo vizuri. Hivyo wananjaa kubwa ya vyeo. Kilichowakutanisha pamoja ni njaa ya vyeo siyo itikadi wala uzalendo.
Hapa ndo ninapopata shida na kujiuliza nani atatuokoa mikononi mwa CCM?