Miaka ya 1999 nilipata bahati ya kufundishwa tuition na Mwalimu Ng'wavi pale shule ya sekondari Forodhani Dar es salaam wakati huo nikiwa kidato cha sita Tambaza.Kuna anayefahamu wapi aliko?
Labda tufaham ni nini kimekufanya umkumbuke na kumtafuta huyo Mwl. Ukijipambanua utapunguza mashaka ya wanaomfaham kukueleza alipo au hata yeye mwenyewe kujitokeza.
Miaka ya 1999 nilipata bahati ya kufundishwa tuition na Mwalimu Ng'wavi pale shule ya sekondari Forodhani Dar es salaam wakati huo nikiwa kidato cha sita Tambaza.Kuna anayefahamu wapi aliko?
Miaka ya 1999 nilipata bahati ya kufundishwa tuition na Mwalimu Ng'wavi pale shule ya sekondari Forodhani Dar es salaam wakati huo nikiwa kidato cha sita Tambaza.Kuna anayefahamu wapi aliko?