Imbombo ngafu..!! Wamewatuma vibaraka watest mitambo kwanza. Wameona vibaraka wanakula spana za maana hivyo wanajipanga kivingine..!!Wadau habari za jukwaniii kwa yanayondelea tuhuma mzito za Balazi polepole na Dr slaaa ndugu yetu Msigwa msemaji wa serekali kajichimbia wap au anasubiri wanafaunzi wa vyuo awachimbe biti wakipost NO reform no election
Kachoka kudanganya .....anaona SONIWadau habari za jukwaniii kwa yanayondelea tuhuma mzito za Balazi Polepole na Dkt. Slaa ndugu yetu Msigwa msemaji wa serekali kajichimbia wapi au anasubiri wanafunzi wa vyuo awachimbe biti wakipost No Reform No Election?
Kapigwa Spana mpaka kapotea hana hamuWadau habari za jukwaniii kwa yanayondelea tuhuma mzito za Balazi Polepole na Dkt. Slaa ndugu yetu Msigwa msemaji wa serekali kajichimbia wapi au anasubiri wanafunzi wa vyuo awachimbe biti wakipost No Reform No Election?
Ameenda kuyafuata mabasi ya DART yale ya kuelekea mbagala huko mchuchuma kiwandaniWadau habari za jukwaniii kwa yanayondelea tuhuma mzito za Balazi Polepole na Dkt. Slaa ndugu yetu Msigwa msemaji wa serekali kajichimbia wapi au anasubiri wanafunzi wa vyuo awachimbe biti wakipost No Reform No Election?