Yuko wapi mchungaji Gwajima? Tunahitaji tamko lake

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
25,305
Reaction score
34,644
Gwajima tunamuhitaji sana kipindi hiki tuendeleze harakati.

Yupo kimyaaa tangu oct 26 .

Tunamuhitaji atupe neno liweze kuponya nyoyo zetu.

Tunamuhitaji atupe dondoo mbili tatu na next moves baada ya hapa.

Nini hatima ya makanisa yake 2600 , je yupo tayari kukaa chini kujirudi ili makanisa yake yafunguliwe?


Nini kifanyike ili waumini wake wapate tena haki ya kuabudu?

Tunahitaji atupe mtazamo wake kuhusu uchaguzi huu uliofanyika na nini anaona kitaenda kutokea huko mbeleni.
 
Sema Kuna moment game iikua fire kulia Jasusi la mbinguni kushoto Mzee wa Cuba aiseee....Spana kwenda mbelee
Mzee wa kubagaza na kubananga aliwalaza sana na viatu kwa zile spana.. Respect to him popote alipo.!
 
Nenda kanisani kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…