curie
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 664
- 1,489
Wengi wanamjua Yuda Iscariote kama msaliti wa Bwana Yesu lakini huyu jamaa alikuwa mtunza hazina wa Yesu na aliaminika sana hata kuliko Zakayo mtoza hushuru.
Hivo kutokana kumjua Yesu vizuri hivyo alijua hawa wajeda hawana uwezo wa kumkamata Yesu hivo walivyo mletea vipande 30 kaona ndo muda mufaka wa kutunisha mfuko.
Ikumbukwe alishapita katikati yao kule kijiji kwao na kuondoka zake bila ya kumuona point hii Yuda alijua Yesu atapita kati yao ndo kuondoka zake na wayahudi kubaki wakishangaa ..
Je kwa sasa tunaona wakina Yuda wengi wanatuachia mikasa wakijua tunachomoka lkn wapi?
Muwe jumaa kuu njema
Hivo kutokana kumjua Yesu vizuri hivyo alijua hawa wajeda hawana uwezo wa kumkamata Yesu hivo walivyo mletea vipande 30 kaona ndo muda mufaka wa kutunisha mfuko.
Ikumbukwe alishapita katikati yao kule kijiji kwao na kuondoka zake bila ya kumuona point hii Yuda alijua Yesu atapita kati yao ndo kuondoka zake na wayahudi kubaki wakishangaa ..
Je kwa sasa tunaona wakina Yuda wengi wanatuachia mikasa wakijua tunachomoka lkn wapi?
Muwe jumaa kuu njema